Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwanza nilikua na fujo labs mie, situlii mara nimegusa hiki, kuna wakati nilichukua vi odds fulan vipo km unga unga, vilikua kwa chombo kidogo km ki plastic cha kunyweshea watoto dawa, nisilambe vile unga unga, vina ladha fulan km glucose, ila harufu yake muda huo huo kichefu chefu,

Bhanaa nkakaa km masaa hivi, ulimi ulikua unawaka motooo, nilihisi nakufaa, afu sijawahi sema, hata sielew ilikua nn, km kufa bas ningekufa. Wallah.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! ulisahau Don't eat in the laboratory 🤣😂😂😂🤣🤣!!
Wewee hatareeee😂🤭
 
!! ulisahau Don't eat in the laboratory !!
Wewee hatareeee
shougaaaa nilikoma, ulimi unawaka utasema kaa la moto limewekwa juu ya ulimi, bas mda ote nautoa nje afu nafanya km kupuliza upate baridi, nikirudisha ndani tyuuh wee hadi nataman kuunyofoa kabisaa.

Sasa nikawa nawaza sio utumbo ndani unakatika, nkawa najisemea km kufa bas nife ila sisemi km nililamba kitu labs, nashukuruu baada ya mda ulimi ulitulia,

 
shougaaaa nilikoma, ulimi unawaka utasema kaa la moto limewekwa juu ya ulimi, bas mda ote nautoa nje afu nafanya km kupuliza upate baridi, nikirudisha ndani tyuuh wee hadi nataman kuunyofoa kabisaa.

Sasa nikawa nawaza sio utumbo ndani unakatika, nkawa najisemea km kufa bas nife ila sisemi km nililamba kitu labs, nashukuruu baada ya mda ulimi ulitulia,

Acha uongo wewe
 
usiniambie!! uwii na nimebeba sweta moja tu for emergency
Wewe najua mzoefu wa baridi maana ile ya Tukuyu ni kali zaidi ni tahadhali tu nilikupa nkamu, maana hali ya hewa ya Atown ni ya kubadilika badilika na msimu huu ni wa baridi hasa uko porini
 
Aah kuna ile practical ya classofication sir analeta specimen za maembe after practiacal tunayala
Huko bios ndo ilikua vurugu match, aliletwa Mdede, (Panzi) sijui ndo yeye, mbna nilimuua kabla ya experiment,

yaan namminyaa hadi akatoa utumbo nje.

Ticha acha afoke, mie kimyaaa.
 
shougaaaa nilikoma, ulimi unawaka utasema kaa la moto limewekwa juu ya ulimi, bas mda ote nautoa nje afu nafanya km kupuliza upate baridi, nikirudisha ndani tyuuh wee hadi nataman kuunyofoa kabisaa.

Sasa nikawa nawaza sio utumbo ndani unakatika, nkawa najisemea km kufa bas nife ila sisemi km nililamba kitu labs, nashukuruu baada ya mda ulimi ulitulia,

Hahahahaaaa...pole shoss ulizidi utundu Nawewe 😂😂🤣!
 
Pau Bae
20220714_214816.jpg
 
Back
Top Bottom