Hips don’t lie by Shakira🥰Huyo umbo namba name ananichanganya
Toka moyoni nasema nampenda sana
Hebu piga hilo gitaa majani zaidi ya Santana
Ili na mimi nimuimbie mama
Sijui niseme akae au niseme asimame
Huyo umbo namba watu wote muone
Fid Q
Daz Nundaz[emoji91]View attachment 2290511
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ulikuwepo asubuhi? Haka kajua ka mchongo kasikuzuzue [emoji16]
Za mchongo [emoji23]Hips don’t lie by Shakira[emoji3059]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mahaba niteketezee [emoji3531][emoji3531][emoji3531][emoji3531][emoji8][emoji8][emoji8]!!
Enjoy mamaa [emoji8]!
Naona naona!! Dizain unapotezwa/ unafichwa tunakumiss mpaka tunaumwa sie!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Aisee..😁😁Limekodolewa kodooo
Ningekuwa Mimi ndy nimevunja hizo mambo ningeenda home Kusema nadaiwa hela ya apparatuses au nimevunja laboratory kisha narudi shule nimejaa mihela 😅😅Jana ilikua Kemia Dr!!👇
madogo walikua wanatetemeka hadi wengine wakavunja vifaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona naona!! Dizain unapotezwa/ unafichwa tunakumiss mpaka tunaumwa sie!!
Halahala asitupotezee Anne wetu sie!
Weeeee watalipa kweli nimenotice majina yao watakuta madeni kwenye clearance Najua hawa wanaochukua kemia /Phys wamechujwa ipasavyo so kama wote lazima watafaulu walau na watakuja kuclear tu!Ningekuwa Mimi ndy nimevunja hizo mambo ningeenda home Kusema nadaiwa hela ya apparatuses au nimevunja laboratory kisha narudi shule nimejaa mihela 😅😅
Wengine Wazazi wetu wa zamani elimu ilipita kushoto kidogo
At least saivi dizain umekua mamaa much congrats!!👏👏👏👏👏!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napunguza muda wa kukaa humu shetani asije niharibia mambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pole Kwa kazi mzito..ualimu kazi ngumu sanaWeeeee watalipa kweli nimenotice majina yao watakuta madeni kwenye clearance Najua hawa wanaochukua kemia /Phys wamechujwa ipasavyo so kama wote lazima watafaulu walau na watakuja kuclear tu!
Acha tu Dr!!Pole Kwa kazi mzito..ualimu kazi ngumu sana
Nilishakuwa mmama[emoji23]At least saivi dizain umekua mamaa much congrats!![emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]!!
Mabadiliko yapo!!
Mimi nahisi ningekuwa nachapa hadi mikono iniume[emoji1787]Pole Kwa kazi mzito..ualimu kazi ngumu sana
Hongera jirani...
Ahahah sidhani km ungefanya hivyo binti Abiuidi.unaonekana Una huruma sanaMimi nahisi ningekuwa nachapa hadi mikono iniume[emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
AsanteHongera jirani...