Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jana ilikua Kemia Dr!!👇
madogo walikua wanatetemeka hadi wengine wakavunja vifaa!!
Ningekuwa Mimi ndy nimevunja hizo mambo ningeenda home Kusema nadaiwa hela ya apparatuses au nimevunja laboratory kisha narudi shule nimejaa mihela 😅😅

Wengine Wazazi wetu wa zamani elimu ilipita kushoto kidogo
 
Ningekuwa Mimi ndy nimevunja hizo mambo ningeenda home Kusema nadaiwa hela ya apparatuses au nimevunja laboratory kisha narudi shule nimejaa mihela 😅😅

Wengine Wazazi wetu wa zamani elimu ilipita kushoto kidogo
Weeeee watalipa kweli nimenotice majina yao watakuta madeni kwenye clearance Najua hawa wanaochukua kemia /Phys wamechujwa ipasavyo so kama wote lazima watafaulu walau na watakuja kuclear tu!
 
Back
Top Bottom