Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

English ni tatizo. Nimekumbuka kitu na nimecheka bure.

Kuna mtu natakiwa kumjazi hayo hayo makaratasi yake ameomba kufanya masters mahala. Uzuri deadlin bado ya kutuma hizo barua zao. Yeye anae soma masters nikamuambia ijaze alafu mie kama cha kuongezea kipo utaniambia niitume, anasema english yake sio nzuri kama yangu, mie mwenyewe anae niambia nina ahueni ,, nimeikimbia kwasababu hizo hizo.. Ila tutafika japo sio haraka
Ndiyo ndiyo Referee wangu mwenyewe
 
Msiseme sijaambiwa
IMG-20220629-WA0608.jpg


Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom