Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ndaga nkamu*104*889393104449453#
Njooni tuselfike na #voda#
Ndaga nkamu*104*889393104449453#
Njooni tuselfike na #voda#
Ndiyo ndiyo Referee wangu mwenyeweEnglish ni tatizo. Nimekumbuka kitu na nimecheka bure.
Kuna mtu natakiwa kumjazi hayo hayo makaratasi yake ameomba kufanya masters mahala. Uzuri deadlin bado ya kutuma hizo barua zao. Yeye anae soma masters nikamuambia ijaze alafu mie kama cha kuongezea kipo utaniambia niitume, anasema english yake sio nzuri kama yangu, mie mwenyewe anae niambia nina ahueni ,,nimeikimbia kwasababu hizo hizo.. Ila tutafika japo sio haraka
😄😄😄😄😄 naona giza limeingia chief!Ndiyo ndiyo Referee wangu mwenyewe
Nilipe.Kwa kweli nafahamu unanidai.
Hopefully uko byeee!!!





yani mtu anakaa wiki kavaa nguo zako mpka unashangaa Kuna binti alikuwa anavaa mpka boxer zangu 


yani mtu anakaa wiki kavaa nguo zako mpka unashangaa Kuna binti alikuwa anavaa mpka boxer zangu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app




Umewahi mama mchungaji?Ndaga nkamu
yani mtu anakaa wiki kavaa nguo zako mpka unashangaa Kuna binti alikuwa anavaa mpka boxer zangu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app


Hapana. Nimekushukuru tu kwa moyo wakoUmewahi mama mchungaji?
Hongera
Amenishinda tabia yani boxer zangu mpka zinakuwa na hips


Umeeleweka vizuri sana 😄😄😄😄
🙏🙏🙏🙏Hapana. Nimekushukuru tu moyo wako
Nilitoka bhanaa, nilikuambia baadae, haya weka sahivi.Naweka tena
Upo tayariii????
Usitoke hapa
Hapanaaaa.Umemuonaaa???![]()
Ndo kanichosha kabisaaa, 3 pages kwa CV gan niliyonayo? Labda niwaandike na Ex wangu wote, kujazia hizo page,3 pagesmbona wanitisha nisikusanye yangu






