cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,274
Noumaaaaaah.Heeeeeeeeeeeh kumbe jf !!![]()
Noumaaaaaah.Heeeeeeeeeeeh kumbe jf !!![]()
Tuko tayariii, muweke tumuone.Nimuweke mama yao??
Uko tayariiiii??
Nauliza uko tayari nimuwekeeeee????
Lile jitu limenifata linanisumbua hadi nyuzi zingne eti tumefuta picha zake. Sijui ana shida gani



achana nalo, lina mtindio wa ubongo, lina stress za maisha. Ni wa kulipuuza tyuuh.Mbna sijamuonaaa hapaaa. Nimepitwaaa, baadae niwekee.
Umemuonaaa???🤣🤣🤣🤣cocastic
Mama yaoooo🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
😂 😂 😂Hiyo utaipata snapchat😂
Hii itaonekana kama utani lakini inagusia jambo la muhimu sana. Kuna mambo hayapaswi kuwekwa kwenye CV hasa kama unaomba kazi ya maana kwenye mashirika ya kimataifa; na kwingineko. Na kinachowaponza wengi ni hizi barua za hawa wanaoitwa referees/recommenders. Huwa wanaandika mambo ya ajabu sana.
Asante sana , kwa maelezo muhimu kama haya, naamini yatatusaidia vijana wengi. Ni kweli mie huwa napokea cv nyingi kwenye email ya boss wangu, huwa naitumia mie. Ni huruma sana, kuna cv huwezi rudi isoma mala mbili mbili, ukiitazama tu unaachana nayoHii itaonekana kama utani lakini inagusia jambo la muhimu sana. Kuna mambo hayapaswi kuwekwa kwenye CV hasa kama unaomba kazi ya maana kwenye mashirika ya kimataifa; na kwingineko. Na kinachowaponza wengi ni hizi barua za hawa wanaoitwa referees/recommenders. Huwa wanaandika mambo ya ajabu sana.
Kuna miongozo mingi mtandaoni kuhusu CV ya maana inavyopaswa kuonekana. Ni vyema kufuata miongozo hiyo kama unaomba kazi kwenye NGO na mashirika mengine yenye mawanda mapana.
NB: Siku hizi CV wala haziangaliwi na watu hasa katika hatua za mwanzo mwanzo. Zinaangaliwa na kompyuta. Na kama habari za msingi hazipo juu kwa margins zinazotakiwa CV yako haitavuka hata ule mchujo wa kwanza maana software haiwezi hata kudaka zile personal info tu za mwanzo mwanzo...
Mnatutesa sana maboss nyieAsante sana , kwa maelezo muhimu kama haya, naamini yatatusaidia vijana wengi. Ni kweli mie huwa napokea cv nyingi kwenye email ya boss wangu, huwa naitumia mie. Ni huruma sana, kuna cv huwezi rudi isoma mala mbili mbili, ukiitazama tu unaachana nayo
Wapi tena babu jamani
😁 go ahead ya nani? Leta chombo itolewe mafuaPost M-alone ile gari nimeiona ya zawadi yake Depal .. nasubiri go-ahead niipeleke arushaView attachment 2277475
Ni tatizo.Asante sana , kwa maelezo muhimu kama haya, naamini yatatusaidia vijana wengi. Ni kweli mie huwa napokea cv nyingi kwenye email ya boss wangu, huwa naitumia mie. Ni huruma sana, kuna cv huwezi rudi isoma mala mbili mbili, ukiitazama tu unaachana nayo

Kati ya usafiri ambao siupendi ni huu. Safiri salama mzee mwenzangu


Mnatutesa sana maboss nyie