Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😁 go ahead ya nani? Leta chombo itolewe mafua
😁 go ahead ya nani? Leta chombo itolewe mafua
Duh!!😁 go ahead ya nani? Leta chombo itolewe mafua
3 pagesNi tatizo.
Niliwahi kukaa kwenye selection committee kwenye NGO fulani iliyokuwa inatoa scholarships za kusoma Masters kwa vijana kutoka Africa na Middle East. Mimi nilipangiwa kushughulikia waombaji kutoka East na Central Africa. Mbona nilichoka
Kuna tofauti kubwa sana ya kiweledi kuhusu mambo ya msingi kati yetu hata na Wakenya tu hapa. CV zao zimeandikwa kitaalamu sana na zinajitahidi kujibu maswali yote ambayo mtu unaweza kuwa nayo. Ni professional CVs.
Sisi unakuta mtu amekazana na hobbies kibao eti swimming, listening to gospel and rap music and fishing wakati mambo ya msingi hajayagusia.
Njoo kwenye recommendation letters sasa. I know the applicant and s/he will do well in her/his studies mtu kamaliza. Unachukua recommendation letter ya Mkenya ina kurasa tatu profesa anaelezea jinsi anavyomfahamu applicant kwenye personal na professional level...
Mambo haya yanaweza kuonekana kama madogo lakini ndiyo yanatukwamisha sana Kibongo kiasi kwamba ukienda duniani huko kwenye mavyuo makuu na mashirika mengi utakuta wamerundikana Wakenya tuna Wanaijeria.
Huwa inaniuma sana!

mbona wanitisha nisikusanye yanguNi tatizo.
Niliwahi kukaa kwenye selection committee kwenye NGO fulani iliyokuwa inatoa scholarships za kusoma Masters kwa vijana kutoka Africa na Middle East. Mimi nilipangiwa kushughulikia waombaji kutoka East na Central Africa. Mbona nilichoka
Kuna tofauti kubwa sana ya kiweledi kuhusu mambo ya msingi kati yetu hata na Wakenya tu hapa. CV zao zimeandikwa kitaalamu sana na zinajitahidi kujibu maswali yote ambayo mtu unaweza kuwa nayo. Ni professional CVs.
Sisi unakuta mtu amekazana na hobbies kibao eti swimming, listening to gospel and rap music and fishing wakati mambo ya msingi hajayagusia.
Njoo kwenye recommendation letters sasa. I know the applicant and s/he will do well in her/his studies mtu kamaliza. Unachukua recommendation letter ya Mkenya ina kurasa tatu profesa anaelezea jinsi anavyomfahamu applicant kwenye personal na professional level...
Mambo haya yanaweza kuonekana kama madogo lakini ndiyo yanatukwamisha sana Kibongo kiasi kwamba ukienda duniani huko kwenye mavyuo makuu na mashirika mengi utakuta wamerundikana Wakenya tuna Wanaijeria.
Huwa inaniuma sana!
Kumbe ndio huyu ? mbona uliacha patamu sana mkuu, kitu kizito hakiwezi mpata yupo na nyau anakula maisha 😄😄😄Tbt ya x wangu huko uliko upigwe na kitu kizito View attachment 2277500
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Wasap image tena ya leo june 30… inakuwaje tbt?Tbt ya x wangu huko uliko upigwe na kitu kizito View attachment 2277500
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
AbeeDuh!!
Page tatu, kawaida na hapo mtu kaelezea very clear, akiongezea mashudu zinazidi.3 pagesmbona wanitisha nisikusanye yangu
Referee anakuandikia 3 pages letter,, unapendwa kiasi ganiPage tatu, kawaida na hapo mtu kaelezea very clear, akiongezea mashudu zinazidi.
Tbt ya x wangu huko uliko upigwe na kitu kizito View attachment 2277500
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app



Wewe siyo church gal?Church gelo mwenyewe 😂😂
Wadada wa selfika njooni mumzabue huyu kiumbe ili akili zimrudie
Nyie mnabandika Referee ambao hawana uhusiano wowote na nyie. Unataka ajaze nini sasa ? Referee hakikisha ni mtu anae kujua na ni mtu unae mjua, na anajua maisha yako binafsi na ya kazi kwako maana huyo wakati mwingine ndio kama mzamini, sasa kuna mzamini yupo anaeweza kumzamini mtu asie mjua ?Referee anakuandikia 3 pages letter,, unapendwa kiasi gani
Chief chief chief.. Niambie 😄😄😄
Chief unanitenga sana.. chief.. ! Leo kulikuwa na baridi flani amazing hadi ikanilazimu kuchukua duvet, shuka na shuka , sasa kule juu sijui itakuwaje🙂🙂