cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,291
Nna kikojoleo na kinyeo.
Na vinanipa jeuri, weraaaaaaah







hii nchi hii 



Suruali hii kareee, na imekukaa vyedi.





NdiooooShetani unamjua wewe 😄😄😄
Asante shos!!!Suruali hii kareee, na imekukaa vyedi.![]()
😄😄😄😄😄😄pigia hii inanoga🌶️🌶️ .. mie nimejaribu na 🥑🥑🍉🍉 kidogo nizimie kwa raha
Wee hapo. Afu jina bayaaa lol.





Shangazi mic u mnooooo.
Nimemic kuona u kibonge.







Nimekuelewa vyema, career nzuri sana mkuu, komaa nayo, dunia kwa sasa inahitaji sana watu kama nyie, mambo ya security.Computer Forensics, kwa ufupi wake kwa mfano kuna uhalifu umefanyika wa kiteknolojia iwe computer , simu, au chochote kilicho ungwa na huo mfumo wa kimawasiliano .. mtu wa forensics anaenda kuanza kufanya investigation kujua uhalifu ulivyofanyika waliofanya ikiwezekana, na kukusanya ushahidi kama mtapeleka kesi mbele, huyu mtu wa forensics anakuwa kama shahidi wa kuthibitisha.. ni pana na inaenda zaidi ya hapo. ila mie nilijifunza zaidi namna ya kukusanya ushahidi kuutunza ..kwa ajiri ya kuufikisha unapotakiwa
😂😂😂😂Mtakuja mfe😄😄😄😄😄😄pigia hii inanoga🌶️🌶️ .. mie nimejaribu na 🥑🥑🍉🍉 kidogo nizimie kwa raha
Shetani ni mzuri sana cherubi afunikaye, Mungu hajawai kuumba kitu kibaya baya, shetani bonge la handsome boy tall .. 🤗😄 ukiliona hivyo utelezi unatokaNdioooo
Si ana sura ya kutisha hivi na mapembe au nilidanganywa?🤣🤣
Nitakuwepooooooooh!!!!Aunt ikifika midayetu Ile napika naked liveeeee kabisa usiwaze![]()
Hivi unavifanyeje mjomba??😄😄😄😄😄😄pigia hii inanoga🌶️🌶️ .. mie nimejaribu na 🥑🥑🍉🍉 kidogo nizimie kwa raha
Umeniita mwenye mdogo wanguSasa Kaka unaniita ya nn aisee Jaman nanyanyasika sana
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app


Hiyo sentensi ya mwisho nyooooooooooooShetani ni mzuri sana cherubi afunikaye, Mungu hajawai kuumba kitu kibaya baya, shetani bonge la handsome boy tall .. 🤗😄 ukiliona hivyo utelezi unatoka