Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekusoma vyema mkuu.
Kumbe shida imeandamwa na society ya hackers, na wana support kubwa na tools.
hivyo kutengeneza mfumo from scatch inahitaji uwe makini, na hapo ndipo mnaingia wazee wa penetration..
Swadakta. Hata hapo uki google how to hack php site, utakuna nazo kibao mbinu. Na inakuja novice wengi wanaanza na php, wanakuwa hawazingatii miiko ya development hasa kwa php. Copy sana code bila kujua why kaweka hiki hapa na why kaondoa kila pale.. mtu anatumia coee bila kujua, unakuta kwenye funtion ku turn on mala off baadhi ya function na hajui kwanini kafanya hivyo, pia unakuta mazingira aliyo develop ndio hayo hayo anaenda pandishia mzigo bila ku secure environment .. But kwangu PHP ni lugha nzuri sana ila inakuhitaji kuwa matured enough kuitendea haki
 
Thanks a lot, elimu ni pana sana, kwa sababu napenda hizi mambo ngoja nipitie baadae, nikikaa nisome page 100 per day namaliza.
Nitakupa mrejesho.
Huyo kila chapter ina challenge na ndio uta enjoy hicho kitabu , unasoma una practise . nilikipenda sana kilinipika sanaaa..

ila pia waweza anzia hiki kucheza na metasploit..
Screenshot_2022-06-30-12-02-57-852_com.android.chrome.jpg
 
Swadakta. Hata hapo uki google how to hack php site, utakuna nazo kibao mbinu. Na inakuja novice wengi wanaanza na php, wanakuwa hawazingatii miiko ya development hasa kwa php. Copy sana code bila kujua why kaweka hiki hapa na why kaondoa kila pale.. mtu anatumia coee bila kujua, unakuta kwenye funtion ku turn on mala off baadhi ya function na hajui kwanini kafanya hivyo, pia unakuta mazingira aliyo develop ndio hayo hayo anaenda pandishia mzigo bila ku secure environment .. But kwangu PHP ni lugha nzuri sana ila inakuhitaji kuwa matured enough kuitendea haki
Ni kweli, inabidi uwe na uelewa wa kila kilichoandikwa, hata kama ni scipt ume copy.
Haya mambo ni hatari mkuu, kwa maana hata kampuni kubwa watu wana hack, nie wazee wa penetration muhimu sana.
 
Ndio wale ethical hackers.
Hata wale ni hao hao tu 😁😁
But mbeleni hapo nataka nianze ku dig sana mambo ya reverse engineering pamoja na Forensics .. hii computer forensics nilikuwaga mbali sana, na nimeisha fanyia kazi practical sehemu ni raha bwanaa 😄😄.. sema na umri umeenda haya madude uyasome alafu upate kazi Jeshi la polisi achana na kwingine huko kote.. upate ndani ya jeshi la Polisi idara ya DCI.. aah. kuna practical kibao za kufanya kule
 
Ni kweli, inabidi uwe na uelewa wa kila kilichoandikwa, hata kama ni scipt ume copy.
Haya mambo ni hatari mkuu, kwa maana hata kampuni kubwa watu wana hack, nie wazee wa penetration muhimu sana.
Penetration testing tupo aina mbili na zinafanyika kwa aina mbili.. ndani ya organizatuon hii mnawajua hata wanao fanya, alafu kuna ya nje ya organization hii hamjui watao ifanya, lengo ninkujirisha kama mfumo upo salama, kawa wa ndani wakishindwa na wa nje wakishindwa mpo safe kama wakitoboa mnazidi ku improve.. hii kitu muhimu sana kwenye mifumo yote na kwa namna ingine inasaidia hata kufanya system auditing
 
But mbeleni hapo nataka nianze ku dig sana mambo ya reverse engineering pamoja na Forensics .. hii computer forensics nilikuwaga mbali sana, na nimeisha fanyia kazi practical sehemu ni raha bwanaa 😄😄.. sema na umri umeenda haya madude uyasome alafu upate kazi Jeshi la polisi achana na kwingine huko kote.. upate ndani ya jeshi la Polisi idara ya DCI.. aah. kuna practical kibao za kufanya kule
Safi sana, hii computer forensics inakuwaje?
 
Back
Top Bottom