Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Site nyingi sana ni PHP.. issue kubwa ni namna gani una secure kazi yako. Ujue kwanini inaoneka easy to hack ? watu wengi sana wamesoma PHP, tools nyingi sana za hacking zili lenga PHP maana ndio site nyingi, kwaiyo inakuwa kama rahisi vile kwasababu resources zipo za kutosha, ila mtu akiisuka PHP ipasavyo hutoboi.. kirahisi rahisiSawa,
Lakini kweli devs wengi ni wafuata mkumbo, hii jf ni php, wikipedia ni php, facebook ni php, wordpress n.k.
Pole.Kumbe unajuaa ehhhh!! Baridi linanikakamaza mwili na kunifanya nilale mapema mjomba Nations
Ushunguuuu sanaaa mie huyu imagine tuuu 😢😥😢😓😰😨😪😭😭😭😭😭Umekuwaje mjomba??? Usisikitike ivoo mjomba everything gonna be okay!
Kasema Leo hatoki ndani Shos!




na kuna Baridi leo daaah, tabu tupu.Mkuu dunia hii unahitaji uwe ja tools kibao kwenye begi maisha. Ukitegemea mahala pamoja ngumu sana kutoboa..Owkay.
Basi niseme we ni hacker.
Upo vizuri.
Nimekusoma vyema mkuu.Site nyingi sana ni PHP.. issue kubwa ni namna gani una secure kazi yako. Ujue kwanini inaoneka easy to hack ? watu wengi sana wamesoma PHP, tools nyingi sana za hacking zili lenga PHP maana ndio site nyingi, kwaiyo inakuwa kama rahisi vile kwasababu resources zipo za kutosha, ila mtu akiisuka PHP ipasavyo hutoboi.. kirahisi rahisi
Umekuwaje mjomba lakini???!!!Ushunguuuu sanaaa mie huyu imagine tuuu 😢😥😢😓😰😨😪😭😭😭😭😭
Baridi hatari sana shos!na kuna Baridi leo daaah, tabu tupu.
Ndio wale ethical hackers.Mkuu dunia hii unahitaji uwe ja tools kibao kwenye begi maisha. Ukitegemea mahala pamoja ngumu sana kutoboa..
Hacker ambae ni legal sio illegal .. huwa nacheka sana hapa, mganga ndio mchawi na mchawi ndio mganga 🙂🙂🙂
MnoooohBaridi hatari sana shos!
Sasa Kaka unaniita ya nn aisee Jaman nanyanyasika sanaSijambo Kaka nipe habari
Vipi mzima wewe ?


Mkiwa mnabadili majina muwe mnasema 😂😂
We portable mbona tumepoteanaWee hupendi gari?
😂😂😂😂Mkiwa mnabadili majina muwe mnasema 😂😂
Thanks a lot, elimu ni pana sana, kwa sababu napenda hizi mambo ngoja nipitie baadae, nikikaa nisome page 100 per day namaliza.Post M-alone ukipata nafasi pita na huyu mwamba, na vitabu vyake ni 🔥🔥 nilinunua vilipo toka na kwangu vikawa na matokea chanya sanaView attachment 2277328View attachment 2277329View attachment 2277330