Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Haya sasaYaani mimi nimekesha hapa navizia selfie unanifanyia hivi nkamu? Si sawa
Urudiwe tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasaYaani mimi nimekesha hapa navizia selfie unanifanyia hivi nkamu? Si sawa
Urudiwe tafadhali
Siku hizi natengwa sanaaa.. ila yote maisha 🙂🙂Hahahahaaaa... usiwaze badae Nitaweka mjomba!
Python ndio major language yangu. kwasbabu za kikazi ndio ina fit kwanguJS ni🔥🔥🔥
Nimekusoma, Python pia ni bonge la language.
Nimekaa pale
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😄😄😄 shangazi leo sitoki chumbani, kupata hizo vocha ni kipengele.. leo ni kulala na kunywa
Mjomba Kanichinjia baharini shos msimu huu tukaogee maji ya bahari tuondoe nuksi shos angu!!Afu unipasie na mie, napita na fursa za watu.![]()
Kanichinjia baharini shos msimu huu tukaogee maji ya bahari tuondoe nuksi shos angu!!






kwan sasa?Sawa,Post M-alone na kwa lugha ingine tunasema PHP shida ninwatumiaji na sio PHP rahisi kwa hacker kulala nayo mbele. Labda kwa issue zingine kama kuwa nzito kuliko lugha zingine etc.. na kuna namna nyingi za kufanya iwe nyepesi. Kuna mentality tu
Hamna kitu hapo tumepigwaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Hutaki au?Hamna kitu hapo tumepigwaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu tuone sasa hapa hapa nithibitishie nkamuHutaki au?
Kasema Leo hatoki ndani Shos!kwan sasa?
Ipo vizuri sana, upo upande upi?Python ndio major language yangu. kwasbabu za kikazi ndio ina fit kwangu
Sikuhizi Nalala mapema sana mjomba sijakutenga mjomba wangu!!Siku hizi natengwa sanaaa.. ila yote maisha![]()
haya shangazi, ila yote maisha 🙂🙂Sikuhizi Nalala mapema sana mjomba sijakutenga mjomba wangu!!
Penetration Tester.Ipo vizuri sana, upo upande upi?
Umekuwaje mjomba??? Usisikitike ivoo mjomba everything gonna be okay!haya shangazi, ila yote maisha 🙂🙂
Baridi eti.Sikuhizi Nalala mapema sana mjomba sijakutenga mjomba wangu!!