Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Poa tu, why Montanna? yani kwa nini umejiita Montanna? sorry for asking!
Aah well, I was inspired by ‘Hanna Montana TV show’ na sticker za kubandika kwa madaftari 😃😃😃

ningependa nijiite Hanna ila ndo hivo nimeitwa Sikujua na wazazi nikaona nibebe tu surname ‘Montanna’ Btw Montana inamaanisha mlima.
 
,😄😄😄 JS tamu sana, inaonekanaga kama nyepesi hivi.. ila badae inaanzaga kuleta picha picha na newbie wengi walala mbele.. nikiwa mmoja wapo.. nikajikita kutumia framework ya angularjs plus bootstraps

function showMessage() { let message = "Inabidi uanze kumpa pindi, Depal !";
alert( message ); }
showMessage();
alert( message );
Hahaha
JS naweza sema ni loose typed language, sijui kama niko sahihi, language zingine kama C++, java n.k ni static, lazima ku specify umeweka type ipi either boolean, string, number etc
JS hakuna hio hio ni kunyooka tu 😁, sema typescript ndio wamekuja na hii mambo ya kuifanya iwe strong typed.

🔥🔥🔥🔥
PHP kwa nini devs wengi hawaipendi?
 
,😄😄😄 JS tamu sana, inaonekanaga kama nyepesi hivi.. ila badae inaanzaga kuleta picha picha na newbie wengi walala mbele.. nikiwa mmoja wapo.. nikajikita kutumia framework ya angularjs plus bootstraps

function showMessage() { let message = "Inabidi uanze kumpa pindi, Depal !";
alert( message ); }
showMessage();
alert( message );
Hahaa, naona hapo ume call function,
 
Aah well, I was inspired by ‘Hanna Montana TV show’ na sticker za kubandika kwa madaftari 😃😃😃

ningependa nijiite Hanna ila ndo hivo nimeitwa Sikujua na wazazi nikaona nibebe tu surname ‘Montanna’ Btw Montana inamaanisha mlima.
😍 Sikujua kama Montanna inamaanisha mlima, ni kwa lugha ipi?
Ila inataka ku sound kama mountain,
Mie nilikuwa namfahamu Montanna na ndugu zake waliojulikana kama Country Boys, tafuta movie inaitwa American Gangster amecheza Denzel.

Safi sana, nitaitafuta hio TV show.
 
😍 Sikujua kama Montanna inamaanisha mlima, ni kwa lugha ipi?
Ila inataka ku sound kama mountain,
Mie nilikuwa namfahamu Montanna na ndugu zake waliojulikana kama Country Boys, tafuta movie inaitwa American Gangster amecheza Denzel.

Safi sana, nitaitafuta hio TV show.
TV show ya watoto 😅😅😅 na wewe unaangaliaga channel ya ‘Nickeledeon’? ni show ya kitambo kidogo
 
Back
Top Bottom