cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Yan jirani unataka nipigwe? Au sijaelewaUpigwe jirani....safi
![]()
Nilishajaribu dating na mkaka alinipita 2yrs… kila baada ya masaa ma3 ugomvi
Mna heka heka nyingi nyie vijana wa below 30![]()



Ndyooooooh, full vuruguu.Wacha weeehh!! tatizo Vijana mambo mengiiiiii!!!





Aisee......Chini ya 30, hovyo!
Chini ya 35 at least’ watulivu wapo
Afu kuna hao wa 40s baadhi ni wamechachuka hatari 🤣🤣
Wastaafu wanaanzia ngapi 🤣
Ila wastaafu wanajuaaa
Wanajuaaa
Wanajua tenaaaa 🤣🤣
Nyie kuna mtu anatumia acc yangu 😁😁
Umenishinda..Mzee wangu Shimba ya Buyenze njoo umalizane na mjukuu wako hukuSi inategemea na ntu na ntu, wastaafu wana shida gan? Km urungu wake unafanya kazi na mapene anayo, kwann nivunge? Namsanukia na kupita naye hiviii.![]()
Jamani 😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ Hadi nimehisi aibuAisee......
Nilijua unapigwa pichaaa......Yan jirani unataka nipigwe? Au sijaelewa
Yan unataka nibondwe 😂
Kwanini jirani...Jamani 😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ Hadi nimehisi aibu
Chini ya 30, hovyo!
Chini ya 35 at least’ watulivu wapo
Afu kuna hao wa 40s baadhi ni wamechachuka hatari![]()
Wastaafu wanaanzia ngapi
Ila wastaafu wanajuaaa
Wanajuaaa
Wanajua tenaaaa
Nyie kuna mtu anatumia acc yangu![]()





leta madini, letaaaaa.😂😂😂 ngoja aje aseme kwanza anataka kunipiga aje..Nilijua unapigwa pichaaa......
😅😅😅 nyakanga, hadhira inakusubirileta madini, letaaaaa.
Mie mmatumbi tu shos ukute bibi wa babu alikua wahuko labdaaShougaaaaah wee n mnyarwanda? Mbna km binti Kagame wallah hivi.
Hili swetaaa ulikolipata, ulioteaaa, limekaa kinyamwenga mnooo.


!!!Umesharanduka..Tafuna muwa upunguze makaliChini ya 30, hovyo!
Chini ya 35 at least’ watulivu wapo
Afu kuna hao wa 40s baadhi ni wamechachuka hatari![]()
Wastaafu wanaanzia ngapi
Ila wastaafu wanajuaaa
Wanajuaaa
Wanajua tenaaaa
Nyie kuna mtu anatumia acc yangu![]()
Alafu wewe mchonganishi ujue😅Kisongo akakutane na Sabaya.![]()
Umenishinda..Mzee wangu Shimba ya Buyenze njoo umalizane na mjukuu wako huku





wee jaman, kwan uongo? Umeona wazee wanavobeba dents wa UD? Njoo weekend mida ya SAA 4 had jion uone ndinga zinavopishana kuchukua wanafunzi.nyakanga, hadhira inakusubiri






leo fursa kwako mwanafunzi, presentation hio.