Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tubadishane basi matumbo
Nna katumbo kg 3
Sitaki uneneee, wembamba ndo pakee, mwenzenu napenda kudekadeka, sasa nikiwq bongee ntadeka vipi si itakua mam kubwa kawa jingaaa,

Kubebwa juu juu, huku unalilia ukuni kunako, mie nasifu na kuhubiri, mwenzangu anacharaza kinanda na kupiga gitaa, nani hataki? Wee traaaaaamuuuuuuu.

 
Nyie wanawake bana hamueleweki km unga wa ngano
Depal below 30,wewe below 35 atakuja mwnigne atasema below 45 wanazingua.

Mnataka kuolewa na wastaafu??????
Si inategemea na ntu na ntu, wastaafu wana shida gan? Km urungu wake unafanya kazi na mapene anayo, kwann nivunge? Namsanukia na kupita naye hiviii.
 
Nyie wanawake bana hamueleweki km unga wa ngano
Depal below 30,wewe below 35 atakuja mwnigne atasema below 45 wanazingua.

Mnataka kuolewa na wastaafu??????
Chini ya 30, hovyo!
Chini ya 35 at least’ watulivu wapo
Afu kuna hao wa 40s baadhi ni wamechachuka hatari 🤣🤣


Wastaafu wanaanzia ngapi 🤣


Ila wastaafu wanajuaaa
Wanajuaaa
Wanajua tenaaaa 🤣🤣

Nyie kuna mtu anatumia acc yangu 😁😁
 
Back
Top Bottom