Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,756
Wacha weee, hapo ni mini Kila siku. Hongera mama, umebarikiwa.
Wacha weee, hapo ni mini Kila siku. Hongera mama, umebarikiwa.
Nilikuwa na safari ya dom na sikuji

Jirani kwa mbaaaaliii..Weekending!!
Nimemuona...kapendeza na unywele wake. Safiii sana.Umemuona eehh!!![]()
Asante sana jiranii 💃Nimemuona...kapendeza na unywele wake. Safiii sana.





nyie watu wameliwa vichwa huko, noumaaah.Pilau linavutia.Mkaa unapika vizuri kuliko gesi
View attachment 2273078
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hamna shida Mimi ntaridhika na chochote ili mradi umepost wewe, Kwa picha nikioona imekaa akilini haifutiki inatosha. Ngoja nisajioi numba kwa nida ntakufuata Inbox.





khaaah wee??Mimi nafanana na ajira ya Mwalimu wa Mwandiko![]()





mtu wa degree anatupwa kufundisha mtoto wa std 5, mie sitaki, leo nacheka tyuuh.Siku imekwishaView attachment 2273469




viatu km umekurupushwa kwa intavoooo, lol. viatu km umekurupushwa kwa intavoooo, lol.
Mwenyewe hapo bas unaona umetimbaa mtoko? Weraaaaah






dahBora urudi upige mishe zako shouznyie watu wameliwa vichwa huko, noumaaah.
Hivi mbna ajira kulingana na taaluma yetu, haitangazwi km hivi? Huwa najiuliza sana.Bora urudi upige mishe zako shouz