Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Zee la mchongo

Habari yako

Zee la mchongo


Nimesikia umepika Li pilauNajifunza jirani.

Nimesikia una mwiko

Mambo TBasi hapo vyema
Ndivyo inavyofanyika karibu duniani kote. Kuanzia walimu wa pre-K na kuendelea. Wanatakiwa wawe na angalau shahada ya kwanza katika Early Childhood Education. Sisi tulichelewa kidogo....mtu wa degree anatupwa kufundisha mtoto wa std 5, mie sitaki, leo nacheka tyuuh.

IkoloyeNdivyo inavyofanyika karibu duniani kote. Kuanzia walimu wa pre-K na kuendelea. Wanatakiwa wawe na angalau shahada ya kwanza katika Early Childhood Education. Sisi tulichelewa kidogo....![]()
Ndivyo inavyofanyika karibu duniani kote. Kuanzia walimu wa pre-K na kuendelea. Wanatakiwa wawe na angalau shahada ya kwanza katika Early Childhood Education. Sisi tulichelewa kidogo....![]()




sitaki yaan nisome kwa ki Bibi Elizabeth, afu nifundishe ki mwambao, nehiiiiiiiii. Hili life inabidi tu ufanye kma umekurupushwa😂😂😂viatu km umekurupushwa kwa intavoooo, lol.
Mwenyewe hapo bas unaona umetimbaa mtoko? Weraaaaah
Umeniangusha sanaa, ila we kiumbe ni mwembamba khaaa, hiyo miguu km fito bhana, usiwe unavaa bukta wallah, yaan nimeshindwa kuvumilia, nimecheka mnoooo.Hili life inabidi tu ufanye kma umekurupushwa![]()
Nipo hivo na nimevaa nguo je nikivua..Umeniangusha sanaa, ila we kiumbe ni mwembamba khaaa, hiyo miguu km fito bhana, usiwe unavaa bukta wallah, yaan nimeshindwa kuvumilia, nimecheka mnoooo.
Sasa kuku mmoja atanishinda kumaliza?Nimesikia umepika Li pilau
Na Mi kuku kama yote
Hivi ni kweli unakaa kwako
Tena mwenyewe![]()
Nipo shangazi fanya Mambo bas
Nilikuwa naisubiri hii comment,kitambo sanaviatu km umekurupushwa kwa intavoooo, lol.
Mwenyewe hapo bas unaona umetimbaa mtoko? Weraaaaah

Mchumba au mkeo anakufaidi wallah, si anakubeba yeye badala ya wee umbebe yeye,Nipo hivo na nimevaa nguo je nikivua..






🤣🤣Nilikuwa naisubiri hii comment,kitambo sana
Nilale sasa![]()
Nilikuwa naisubiri hii comment,kitambo sana
Nilale sasa![]()



acha ukorofi. Si ndo wee nasubir uanze kutetemesha uzi.Nipo shangazi fanya Mambo bas