Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia
Umeanza mambo yako, yaan unaponitibuaga hapo tyuuh. Wee bila kuweka vifungu vya biblia huridhiki? Sio kila jambo la kidini.

Yaan na ajira useme eti maneno ya biblia yanapanga? Sasa nikupe taarifa kuna dada ni mlokole pure, yaan kindaki ndaki, huyu mwaka wa 6 ajira anaiona kwa PDF, why huyo anaemsujudia asimpe? Kwan huwa haombi?

Nwei mie sitaki hotuba zako za biblia hapa. Khaaah.
 
Umeanza mambo yako, yaan unaponitibuaga hapo tyuuh. Wee bila kuweka vifungu vya biblia huridhiki? Sio kila jambo la kidini.

Yaan na ajira useme eti maneno ya biblia yanapanga? Sasa nikupe taarifa kuna dada ni mlokole pure, yaan kindaki ndaki, huyu mwaka wa 6 ajira anaiona kwa PDF, why huyo anaemsujudia asimpe? Kwan huwa haombi?

Nwei mie sitaki hotuba zako za biblia hapa. Khaaah.
Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
 
Sunday
20220626_132752.jpg
 
Back
Top Bottom