Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Amen mtumishiAmeketi mkono wa kuume wa Mungu Baba Mwenyezi,
Kutoka huko atakuja kuwahukumu walio hai na wafu.
Watz Mbengo mtaisekeaaaaa.
Amen mtumishiAmeketi mkono wa kuume wa Mungu Baba Mwenyezi,
Kutoka huko atakuja kuwahukumu walio hai na wafu.
Watz Mbengo mtaisekeaaaaa.
Safi sana jirani
Sawa shoussssHabari kuu.
Tamisemi yatoa ajira za afya na ualimu. Walioomba ni 150k, waliopata ni 9.8k.
Watu wameliwa vichwa huko hadi hurumaaa,
Kuna huyo dada yeye leo ni kilio tyuuh, mbavu zangu mie.
Watu wanateseka na ajira, heri yangu mie naeambiwa sifanani na kuajiriwa au sifai kutumikia taaluma yangu, nshajipanga kisaikolojia nikimaliza nafanya mambo yangu mengine, wao sasa vilio tyuuh huko sahivi.
DJ waleteeeeeeeeeeeeeh,![]()

Nilikuwa natafsiri tu yale maneno kwenye memeAmen mtumishi


Kazi ipo mbona😂😂Nilikuwa natafsiri tu yale maneno kwenye meme
Nimecheka nimetaka kuzimia
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kuna hii challenge niliona huko mjini TikTok
mpendwa tunashiba kweli
Asante jirani
Is Lord😂😂😂😂😂 Jesus
Chakula kipo cha kutosha..mpendwa tunashiba kweli
😂😂😂 wachaga tuliamua kukaa chini kabla hatujakaukaKuna hii challenge niliona huko mjini TikTok
Nililia kwa kichekoView attachment 2272984
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ila kuna watunga meme watausikia tu Ufalme wa Mungu.wachaga tuliamua kukaa chini kabla hatujakauka
Kwani unakaa wapi jamani nije nikutembelee nimekumiss😂😋😋😋

Nipo Maporini huku miguuni mwa Daslama.Kwani unakaa wapi jamani nije nikutembelee nimekumiss![]()
Hahah!Duh, noma sana, huwezi nipa hata location au ukanifungia hata kwenye ki take away ?![]()