Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habari kuu.

Tamisemi yatoa ajira za afya na ualimu. Walioomba ni 150k, waliopata ni 9.8k.

Watu wameliwa vichwa huko hadi hurumaaa,
Kuna huyo dada yeye leo ni kilio tyuuh, mbavu zangu mie.

Watu wanateseka na ajira, heri yangu mie naeambiwa sifanani na kuajiriwa au sifai kutumikia taaluma yangu, nshajipanga kisaikolojia nikimaliza nafanya mambo yangu mengine, wao sasa vilio tyuuh huko sahivi.

DJ waleteeeeeeeeeeeeeh,
Sawa shoussss
Urudi upige tu mishe zako

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hii challenge niliona huko mjini TikTok
Nililia kwa kicheko
Screenshot_20220626-153001.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom