Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Kwani huangaliii? 🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo sisi wengine haturusiwi kukunja nne?🤣🤣🤣
Kumbuka ndio kawaambia hivyo 😂😂😂
Kwani huangaliii? 🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo sisi wengine haturusiwi kukunja nne?🤣🤣🤣
Kumbe kuna kijana wake unampenda,alafu anakulengesha kwanguMkwe wew sio mtu mzuribaada ya kuninyima mpwa wako unanikabidhi kwa sato Hirosh
lkn sio mbaya umefnya replacement


Aah nimetoka kidogo. Huyo Cha maneno jamani mweehKwani huangaliii? 🤣🤣🤣🤣
Kumbuka ndio kawaambia hivyo 😂😂😂
Nanii yule ni vile hakujui vizuri 🤣🤣😂😂😇 we mwenyewe unajua yale maarifa 😂😂😂D unanisingizia ujue🤣🤣🤣🤣🤣
Me mpole sana hata nanii anajua
Tamthilia ya moyoAh wapo vizuri pia
Yaani nimependea mpira , halafu niliangalia siku sinema zetu nikaona wana tamthilia nzuri ..

Na umuambie kabisa naitwa Osman Asam. 😬Ostadh sema sio mchungaji huyo simtambui
Mimi ni Mtanga wa kwanza kuhengeka
Nimecheka sana 😂😂😇Aah nimetoka kidogo. Huyo Cha maneno jamani mweeh
Shauri yako mwenzio anaweza akakuzidi kete ukanshangaa mpaka anaitwa mrs mzabzab🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂 ayeee
Mpe huyu ataniletea nyumbani Lenie
Utashtuka niko Masaki 😂😂😂😂😂Jinsi nitaiingiza mpesa chap na sitapatikana😂😂😂😂
SawaHehehe haipatikani hivyo pia![]()
Asante Baba Mchungaji kwa ufafanuzi huu. Mungu na Aniwezeshe kufikia huo umri wa double blessingnilikuwa naitafakari hii namba. 7 ni namba ya ukamilifu , hapo kuna double 7 .. uki sum hizo namba unapata 14, .. hiyo moja God ( unit ), hiyo 4 pande nne za dunia ( international level ) ukichukua hiyo 14 uki sum inakuja 5 na tano ni namba ya grace..![]()



😂😂😂😂😂 huogopi kuliwa nauli?Shauri yako mwenzio anaweza akakuzidi kete ukanshangaa mpaka anaitwa mrs mzabzab🤣🤣🤣🤣
SYB amekukabidhi kwangu wakati unampenda kijana wake.Ni ajabu..Ni upendo au amekutelekeza kwangu?I miss u dear nipo Sana
Naona mkwe kanikabidhisha kwako mazima asije kulalamika mpwa wake kaibiwa
Kama kuliwa tulishaliwa nyingi tuu. Kwani kuliwa nauli ya buku 40 ndio yakusita kweli kutuma...wee leta namba😂😂😂😂😂 huogopi kuliwa nauli?
Heee I’d nyingine tena😳😳😳Na umuambie kabisa naitwa Osman Asam. 😬
Nikulipe?Sifa ya kuweka nne lazima mguu uwe na longitude na latitude
Nimecheka jamani Heaven Sent
View attachment 2272014

Kumbe barua ndy sababu? Mwambie kijana wako arudishe moyoTuliona barua fulani yenye mwandiko wako ikatuvuruga akili mi na mpwa wangu. Mpwa alianza kulia mpaka ikabidi nimdabue kofi ili kumuweka sawa. Na tangia hapo kanywea hata raha hana.
Kwema huko lakini? Bado uko kwa Wasukuma wako au umeshaondoka zako?
Mungu muaminifu, siri kubwa ya maisha marefu na hata kuingia agano la miaka unayotaka kuishi ni utoaji katika ufalme wake Mungu. Kuna reference nyingi za matoleo kumkumbusha Mungu. Swala la kuishi miaka ni swala la agano zaidi kati ya mtu na Mungu na unaweza ku seal hilo agano na sadaka.. Nakumbuka mikaa kadhaa nyuma niliweka agano la miaka 75 na ikaja kuwa confirmed na mzee mmoja nilikutana nae hanijui simjui akaja niambie hiyo hiyo age nikajua passed, mzee wangu ilikuwa 99 passed..Asante Baba Mchungaji kwa ufafanuzi huu. Mungu na Aniwezeshe kufikia huo umri wa double blessing![]()
Sawawe mkubwa sana kaka handsome
Kaka mwenye kifua chake….