Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Unasagia kunguni sio 😂😂Satoh Hirosh ya kweli haya?
Unasagia kunguni sio 😂😂Satoh Hirosh ya kweli haya?
Ahahah90 yrs haisimami dokta....
Huwa wanaoa kwa sababu zingine tu....
Labda kutunzwa wasije wakafa peke yao
View attachment 2271997
..ndy maana wale wabishi wanaamua kutumia booster wanaishia Kuga kitandani km Yule mzee wa kimara🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😄😄 we me mpole sana, me mwenyewe nakopi kwako 🤣🤣
🙏❤️❤️Leo nina bahati kweli
Ahsante mzungu😍😍
Ni mda nimehengeka mpendwaUmehengeka lini?
Baba Mchungaji umemuacha wapi?
Aliprint ile barua anatembea nayo. Kila akiisoma chozi hiloo basi mi mbavu sinaMwambie konfidensi muhimu asipoangalia atapinduliwa




Tichaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😘❤️❤️Aliciaaaaaaaa🥰🥰🥰
D unanisingizia ujue🤣🤣🤣🤣🤣Tichaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Leta namba yako nikutumie nauli mrembo with cute faceLenie nimecheka hadi kwikwi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Si umetuambia usiku mwema nikajibu nawe pia I meant nawe pia uwe na Usiku mwema!!Nimefanyaje madam 😀
Kuna na Ostaadh?Ni mda nimehengeka mpendwa
Baba mchungaji au Ostadhi![]()



😂😂😂Si umetuambia usiku mwema nikajibu nawe pia I meant nawe pia uwe na Usiku mwema!!
Kwa hiyo sisi wengine haturusiwi kukunja nne?🤣🤣🤣Sifa ya kuweka nne lazima mguu uwe na longitude na latitude 🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Nimecheka jamani Heaven Sent
View attachment 2272014
nilikuwa naitafakari hii namba. 7 ni namba ya ukamilifu , hapo kuna double 7 .. uki sum hizo namba unapata 14, .. hiyo moja God ( unit ), hiyo 4 pande nne za dunia ( international level ) ukichukua hiyo 14 uki sum inakuja 5 na tano ni namba ya grace.. 🔥🔥🔥Desemba hii Mungu Akipenda nagonga 77. Mungu ni mwema![]()
Msamehe mkweAliprint ile barua anatembea nayo. Kila akiisoma chozi hiloo basi mi mbavu sina
Bila konfidensi katika dunia hii ya wababe akina Hirosh mbona kazi anayo?
utaniulia mchumbaanguOstadh sema sio mchungaji huyo simtambuiKuna na Ostaadh?
Mtoto mbichi umehengeka lini? Na tangu lini mwanamke wa Tanga akahengeka?
Ngoja na mie nikutumie nauli uje tena huku morena.Ndioooo km katuma si manaake ananihitaji
Naenda ndio💃