Umepika nini nina njaa hadi natetema kama mayele 🥲🥲Heee I’d nyingine tena😳😳😳
Nilipe 🥰Nikulipe?![]()
Ila wewe 🤣🤣🤣🤣Umepika nini nina njaa hadi natetema kama mayele 🥲🥲
Yeuwiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nanii yule ni vile hakujui vizuri 🤣🤣😂😂😇 we mwenyewe unajua yale maarifa 😂😂😂
😂😂😂😂Heee I’d nyingine tena😳😳😳
Ume nilove ghafla 😊😊😊 tayari najua hapo ukishika grace waniona ndio nachokupendea 🤣🤣🤣Ila wewe 🤣🤣🤣🤣
SikaushiiiiiYeuwiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nikaushie basi shogaa, nitakupa pipi😂
Hapana,sipaswi kufanya Jambo ambalo mwenyewe hajaniruhusu..Siyo sahihiEm mtaje af nitakwambia ndiye au sie![]()

Unataka kumtaja nani kwanza 😂😂Hapana,sipaswi kufanya Jambo ambalo mwenyewe hajaniruhusu..Siyo sahihi![]()
Eeh ametuahidi hapoMmh picha ya Shimba?
Uwiii mbona sijaelewa huko mwishoni 😂😂😂😂Ume nilove ghafla 😊😊😊 tayari najua hapo ukishika grace waniona ndio nachokupendea 🤣🤣🤣
👍👍🎶Baby corner corner
waka waka When you enter omalicha
Baby corner corner
Will you give me sugar wahala hala🎼
Majo monalisaaa majo monalisaaa majo monalisaa🎶
Mlale unono wapendwa!!!😴😴😴😴
Grasi ya maji ( bilauri ) unaniona 😊😊Uwiii mbona sijaelewa huko mwishoni 😂😂😂😂
😂😂😂😂 kuna vile vibiskuti, nikila nakuona jamaniGrasi ya maji ( bilauri ) unaniona 😊😊
Wacha tu Satoh Hirosh aumie, mtoto pisi kaliSifa ya kuweka nne lazima mguu uwe na longitude na latitude 🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Nimecheka jamani Heaven Sent
View attachment 2272014
This is deep Baba Mchungaji.Mungu muaminifu, siri kubwa ya maisha marefu na hata kuingia agano la miaka unayotaka kuishi ni utoaji katika ufalme wake Mungu. Kuna reference nyingi za matoleo kumkumbusha Mungu. Swala la kuishi miaka ni swala la agano zaidi kati ya mtu na Mungu na unaweza ku seal hilo agano na sadaka.. Nakumbuka mikaa kadhaa nyuma niliweka agano la miaka 75 na ikaja kuwa confirmed na mzee mmoja nilikutana nae hanijui simjui akaja niambie hiyo hiyo age nikajua passed, mzee wangu ilikuwa 99 passed..



Ngoja tusubiri, labda tutaona muujiza leoEeh ametuahidi hapo
Kuna case : Ezekieli , hakufunga agano la miaka, ila alimkubusha alichofanya kwa Mungu, Bwana Mungu akaona isiwe case kula hiyo 15 mingine. Kuna Walio fufuliwa kwa ajiri ya utoaji wao na Mungu kuwaongezea uhai wao hapa duniani.. ect ni kibliblia inategema na majira na wakati wa ufunuo unapokujia maana unakuwa umebeba nguvu ya udhihirishoAsante Baba Mchungaji kwa ufafanuzi huu. Mungu na Aniwezeshe kufikia huo umri wa double blessing![]()
Nzuri sana