Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
🤣🤣🤣🙌jero hata 3 Bomba sipati, kaa nayo mwenyewe
🤣🤣🤣🙌jero hata 3 Bomba sipati, kaa nayo mwenyewe
Aya bwana wacha tule kwa macho.😄😄😄😄 Ni gari ya ulaya, ningekuwa sijataja gate na parking ningemtaja hata mwamba na aina ya gari
Anaweka gia ya reverse!! Huko umepita🤣🤣Hahahahaaaa!! Damn Mahondaw!!![]()
Mkuu hukutokea mtoto alikuwa ana ku wait 😄😄😄 alikuwa ana nisumbua mzabzab mbona haji.. hadi tukapiga picha kukuthibitishia tupo tunakusubiri ila wapiUlishamfuata bwna king....nyie bwana wabaya kweli ata kunikaribisha nile hapo hotelini...kweli bodaboda mnatutenga sana
Jamaa kachima wese akufuate akupelekea dar ule maraha ya jiji. Aisee...kweli hela mchawi wa mbususu😂😂😂khaaa kumfuata tena🙈🙈
Huwa sifuati ,nafuatwa
Kabisaaaa huko nishatoka kitambo sana jirani!!Anaweka gia ya reverse!! Huko umepita🤣🤣
Asipokuelewa wewe hataelewa tena DocWa JF ndo hao hao wa mitaani![]()

Ah wapo vizuri piaAzam ile Kombolela au mapishi, au kina simba na yanga
Satoh Hirosh....Asante sana Mkuu
Salama tu huku vipi wewe ?




Mi sijambo T. 

Sinema zetu uwa wanarudia rudia sana, ila sina uhakika wa hivi karibuni.Ah wapo vizuri pia
Yaani nimependea mpira , halafu niliangalia siku sinema zetu nikaona wana tamthilia nzuri ..
Uzima ndo cha muhimu...
Tubakie salama dokta![]()

ThxUnajua kuselfika mkuu 🙂
Satoh Hirosh....
Kule nimeitwa bro...
Huku nimeitwa mkuu...
Kazi ninayo yaani
Mi sijambo T.
Tumshukuru Mungu sis![]()
Maneno yote haya yanatoka wapi..Mbona unatumia nyundo kuua mbu?kisa sikujibu vile ulinambia get well soon??
Antonnia pokea jeshi la mkoloni hilohalina hata dhana za kivita za kutisha..
😂😂😂😂😂😂😂😂 ila weweWewe ni mkubwa hapo nilitamani sijui nikuite Baba ...
Ooh jambo jema hilo
Ameshindwa test kabla ya kuifanya..imebakia huruna yako jirani..Mimi sikupi test yoyote