Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo. Miss you too.

Nakufuatilia kutoka Morogoro laivu. Nilikuona juzi hapa makamera yamekumulika nikaruka ruka kama mwanandama yaani....

Jimbo letu bado liko wazi au lishavamiwa tayari?
Amen
😁😁kumbe na we ulikuwa live unamfuatilia baba
Kesho anamaliza!

Jimboo ss🙈🙆🙇
Hebu ngoja kwanza😷

It seems ulipitwa pia hapa na uziii😷😂
 
Pisi ya nani hii?
Hii pisi kuna siku nilikuwa naifukuzia 😄😄, imetoka getini naifata parking, nikakuta kuna unyama mmoja hatari upo silence nisitaje gari na hata mtu, ila ni muwekezaji flani .. magoti ya kaishiwa nguvu ... 😄😄😄😄 but ni kisu hasa ukikutana uso uso kwanza pole sio ongeaji hatari...
 
Bila kusahau Mizani ya ushambenga😂😂
🤣🤣🤣 na ya walimwengu… na viroja vyao..

Nipo nacheZa haka ka singeli 😂😂

Kupendwaaa rahaaa
Jamani rahaaaa
We Lenie anaringaaa anapohisi anapendwaaa 🎶 🎤

Eeh bwana Mkunaji limemkuta pele
Sijui nn nn pamenipita 😂😂

Kama kupendwa maradhii basi mie niko hoi taabaniiii
 
Back
Top Bottom