Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Ndio wanapofeli hapo sass😂😂😂😂 hawajui hawa
Tatizo watoto wa IG wanawachanganya akili, lile wenge wanakuja nalo huku jf
Weee ndiokwanza inazidi kuchachuka jirani😉Usiogope jf ya jana jirani..ya leo inaweza kukidhi haja.
Na ICU beib 🤣🤣🤣Katuni ni za washua ndioo😂😂
Sie wengine zetu jua kali na mpali😃
AmenNipo. Miss you too.
Nakufuatilia kutoka Morogoro laivu. Nilikuona juzi hapa makamera yamekumulika nikaruka ruka kama mwanandama yaani....
Jimbo letu bado liko wazi au lishavamiwa tayari?![]()
Pisi ya nani hii?
😂😂😂😂Weee ndiokwanza inazidi kuchachuka jirani😉
💃💃💃💃😘😘😘😘😘!!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Acha bwana
😂😂😂 wanachelewa, maana mizizi inazidi kukomaaEnjoini sasa kabla hawajarudi kazini😂😂
Bila kusahau Mizani ya ushambenga😂😂Na ICU beib 🤣🤣🤣
Huyu ndio nani mkuu kwa jina hapa jf? Aisee lunch hapo kilimanjaro sii nauza kiwanja changu🤣🤣🤣🤣
Siwezi kukubishia....Weeehh msukuma Wana utofauti mkubwa sana!!





Hivi ile michezo ya ITV ipo? 😂😂😂 kitambo sana aiseeHahaha hamna nyie mpo vyema bhana
Nasubiria kuangalia mchezo Itv hapa
Hapana hata hapa ni km wa kitaa tuHahahaaa Tina wacha nimalize uzee nahawa wahuku kitaa mamaa !!😘😘😘
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃😘😘😘😘😘!!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii pisi kuna siku nilikuwa naifukuzia 😄😄, imetoka getini naifata parking, nikakuta kuna unyama mmoja hatari upo silence nisitaje gari na hata mtu, ila ni muwekezaji flani .. magoti ya kaishiwa nguvu ... 😄😄😄😄 but ni kisu hasa ukikutana uso uso kwanza pole sio ongeaji hatari...Pisi ya nani hii?
🤣🤣🤣 na ya walimwengu… na viroja vyao..Bila kusahau Mizani ya ushambenga😂😂
Uzee na upweke shoo😂😂Tatizo Sina pa kumuweka mdogo wangu acha nimalizie uzee vizuri mie Sitaki sitiresi za rejareja kabisa!😉!