Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Marahaba dokta. Na heshima hiyo ikurudie 7 mara sabini....

Majukumu naona yamekuzidi unaonekana kwa shida. Au ni mpwa wangu Sophia anakaba mpaka penati??
Dah umenitajia sophy27 nimetabasamu hapa.Nimemmisi Sana

Majukumu Tu docta yamekuwa mengi siku hizi,alafu nimekuwa mzito wa kushika simu.Ila nashukuru sijambo Mzee wangu
 
Dah umenitajia sophy27 nimetabasamu hapa.Nimemmisi Sana

Majukumu Tu docta yamekuwa mengi siku hizi,alafu nimekuwa mzito wa kushika simu.Ila nashukuru sijambo Mzee wangu

Uzima ndo cha muhimu...

Na majukumu ndo uanaume huo...

Mara moja moja hivi ukipewa simu unapita unatusalimia basi ndo vizuri.

Tubakie salama dokta
 
Back
Top Bottom