Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahaha hamna nyie mpo vyema bhana
Nasubiria kuangalia mchezo Itv hapa
Hahaha hamna nyie mpo vyema bhana
Mwambie huyoKuliko na wabaya wazuri hutokea humohumo jirani..
Katuni ni za washua ndioo😂😂
Nipo. Miss you too.Miss youuuuu

Ndiooooo nakaziaaUsicheke nipo serious mrembo![]()
Jirani ndio Unataka kusemaje kwa mfano!! Mfano tu 🤭🤭🤔🤔??Kuliko na wabaya wazuri hutokea humohumo jirani..
Jirani......Lol bora huko huko sasa huku ndio unapotea kabisaaaaa!! 😉
DahMarahaba dokta. Na heshima hiyo ikurudie 7 mara sabini....
Majukumu naona yamekuzidi unaonekana kwa shida. Au ni mpwa wangu Sophia anakaba mpaka penati??

umenitajia sophy27 nimetabasamu hapa.Nimemmisi SanaSijamuona bwana wapi yupo na mie nikoshe machomzabzab umemuona Fine girl 😎😎
Wa JF ndo hao hao wa mitaaniMamaa wajua Jfnawaogopa kama ukoma lakini
![]()



😂🤣🤣 bado hatujaachana maana wachawi wako likizo 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nikajua mshaachana
Anyway hongereni sikudhani mngedumu muda mrefu hivi
Hahahaaa Tina wacha nimalize uzee nahawa wahuku kitaa mamaa !!😘😘😘N
Ndiooooo nakaziaa
Madamu muelewe mwenzio
Enjoini sasa kabla hawajarudi kazini😂😂😂🤣🤣 bado hatujaachana maana wachawi wako likizo 😂😂
Hapana,picha haijawa edited.Ni mrembo snMwehh!!Ukiniona Utakimbia mkuu shukrani kwa camera
Usiogope jf ya jana jirani..ya leo inaweza kukidhi haja.Jirani ndio Unataka kusemaje kwa mfano!! Mfano tu 🤭🤭🤔🤔??
Weeehh msukuma Wana utofauti mkubwa sana!!Wa JF ndo hao hao wa mitaani![]()
Dahumenitajia sophy27 nimetabasamu hapa.Nimemmisi Sana
Majukumu Tu docta yamekuwa mengi siku hizi,alafu nimekuwa mzito wa kushika simu.Ila nashukuru sijambo Mzee wangu

Fine girlSijamuona bwana wapi yupo na mie nikoshe macho