Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Brod darling bana, siwezi kuwaharibia siku yenu. Unajua nashindwa how to articulate it hadi muelewe kile nilichotaka mkielewe. My point is; achana na hizo roho mbaya zetu wamama; ila nguvu ya kulea iliwekwa kwetu zaidi kuliko kwa mwanaume. Nyie wenzetu mliwekewa zaidi nguvu ya provision, protection etc. Ndiyo maana hata maandiko yanasema "Mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye". Na zaidi wahenga wakakandamizia kuwa "asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu". Hiyo haimaanishi kwamba eti wababa hamjui kulea: hapana. Ila wababa wengi wapo/walikuwa wanalea zaidi financially kwa watoto wao; na malezi si fedha peke yake. But tunashukuru Mungu siku hizi; you guys are going extra miles kwenye malezi, that's why we are here to celebrate you today. I was blessed with such kind of a man; na nilikuwa naona kabisa tofauti yangu na baadhi ya watoto wengine. Siku hizi wababa mnakuwa present and available to your kids; siku hizi ni kawaida kukutana tu na baba na watoto wake wanaenjoy weekend, mama amebaki home. Kwenye kulea vichanga tunasaidiana sana; siku hizi hadi kuchange diapers mmeshafuzu. Watoto wapo free sana ku-open up kwenu bila woga; kwa sababu mmejenga sana urafiki nao. Majority ya wababa wa zamani nafikiri mnaijua. Mambo ya watoto kukimbilia vyumbani wakikua baba anarudi, yanazidi kupungua. So yeah, we are celebrating you today and everyday.

Kusema kwamba si kila mwanaume ana ubaba ndani yake; nilikuwa tu nataka tu wababa muone nyinyi ni wa thamani kiasi gani kwa watoto wenu especially when you give your all to your kids. Ni ngumu Sana kucover pengo la "baba bora/responsible" kwenye maish watoto wake.
Mama malezi, machozi yanatoka hapa, andiko hili limenigusa sana. Nawazaga sana nisingejaliwa baba km huyu ningekuaje mie?
Au ingekuaje? Kuna mambo sometimes baba unaona kabisa hakustahili kulibeba kulingana na mazoea au taratibu, ila yeye analibeba na kulichukua,

. JAH ahsante kwa kunipa baba huyuu, niendelee kufaidi matunda yake ya uhai.
 
Ooh ndiyo juzi kazi watu wakawa wanasema Dainamoo amemuita N mke wa sheikh. Makubwaaaaaaa
ubuyuuu si kaumwaga juzi chimbo, sasa A anasemaje hawa watu mnawachekea, dawa yao ukiwa name na akitaka kukuacha unampa tukio kubwa, hivi mnakubali vipi kuachwa kirahisi?

mbavu cnaaaa, nkawa najisemeaaa watu watachezewa watakuja kustuka too late, hawana chochote na magonjwa juu,. Waanze kuwapa tabu ndugu zao.

Maana hawaaambiliki yaan lol.
 
Mama malezi, machozi yanatoka hapa, andiko hili limenigusa sana. Nawazaga sana nisingejaliwa baba km huyu ningekuaje mie?
Au ingekuaje? Kuna mambo sometimes baba unaona kabisa hakustahili kulibeba kulingana na mazoea au taratibu, ila yeye analibeba na kulichukua,

. JAH ahsante kwa kunipa baba huyuu, niendelee kufaidi matunda yake ya uhai.
Usilie basi, si unatujua wanyaki: sikawii kuanzisha msiba hapa. Mwaya endelea kumshukuru baba yako na kumfurahia, na kuwa mtoto yule ambaye anamuheshimisha. Wanafanya mengi sana kwa ajili yetu na kesho zetu, and expect nothing in return; apart from kutushuhudia tunavyokua na kusimama wenyewe kwa miguu yetu. Kuwa na mtu wa kumuita "baba" ni neema na baraka kubwa sana...............
 
Back
Top Bottom