Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilinitoka 80k Shougaaa angu, nilipata 2, sitaki Unyonge kabisaaaa.

Na nilijua lazima utetemekee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeehh hio Shepu lazima niteteme shos wewe ni noumaaaa!!
 
Tumeshtuka saivi sis darling, hatulei tena financially peke yake, we provide and protect halafu tukizeeka madogo wanasema "bila mama nisingefika hapa"[emoji23], tumeshtuka. Now we provide, protect and nurse..the!
Hakuna kitu kinachomjenga mtoto kama upendo wa baba yake. Na kwa wa kike Utamsaidia sana na kumuepusha na mambo mengi sana mabaya huko mbeleni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyota anayo N, Aliolewa na Sheikh pale Upanga, afu hatuna habari, ko tumejua karibuni, but kaachwa, kuna mpemba kaja kuchukua nafas yake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mambo haya, kwan huna ubuyuuu huu wee?
Ooh ndiyo juzi kazi watu wakawa wanasema Dainamoo amemuita N mke wa sheikh. Makubwaaaaaaa
 
Back
Top Bottom