Carlos Tevez
JF-Expert Member
- Jun 8, 2022
- 383
- 1,021
Same there..Happy Sunday to everyone 😘
Same there..Happy Sunday to everyone 😘
Huna macho wee. Poleeeh






Ameweka!!!🙄🙄🙄🙄🙄🙄Ashaweka ujue ulikua unashangaa wapi kwani 🤣🤣🤣!!
Weraaaaaaah Weraaaaaaah








Trust me ukiwa baba wa aina hiyo; watoto wako watakushuhudia na hata mtu awamezeshe sumu kiasi gani; hawawezi kukugeuka. I'm one of them; nafikiri maisha yangu mengi nimemuongelea zaidi baba kuliko mama.Tumeshtuka saivi sis darling, hatulei tena financially peke yake, we provide and protect halafu tukizeeka madogo wanasema "bila mama nisingefika hapa"😂, tumeshtuka. Now we provide, protect and nurse..the!
Hahahaaa.. imekutoa mshepu hatareeee!!! Nimeshtuka huku kujaa ghafla namna gani hukuuuu🤣🤣🤣!!Weraaaaaaah Weraaaaaaah
Bas na mie niwe navaa booster tyuuh., usininyanyase hapa.
![]()
Kwa hiyo hujui na unaona poa tu?Nyumbani kwetu toka wadogo tumekua tukila zaidi chapati za maji, za kusukuma kuna waliojifunza wenyewe badae kabisa ukubwani. Ni maamuzi tu kutojua kupika chapati sidhani kama ni kesi.
Nyota si unayo lakini au? Maana wanasema usililie uzuri







nyota anayo N, Aliolewa na Sheikh pale Upanga, afu hatuna habari, ko tumejua karibuni, but kaachwa, kuna mpemba kaja kuchukua nafas yake. 



ila mambo haya, kwan huna ubuyuuu huu wee?🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣
Thanks pilot!!🔥🔥🔥🔥🔥
Pamefanana napoSio Mzumbe hapa?
Binafsi nilishashtuka tangu mda sana, hizi mambo za kuona ukitoa pesa tu inatosha sikuwahi kuiamini. Watoto ni lazima wafurahie uwepo wa baba yao.Trust me ukiwa baba wa aina hiyo; watoto wako watakushuhudia na hata mtu awamezeshe sumu kiasi gani; hawawezi kukugeuka. I'm one of them; nafikiri maisha yangu mengi nimemuongelea zaidi baba kuliko mama.
Hahahaaa.. imekutoa mshepu hatareeee!!! Nimeshtuka huku kujaa ghafla namna gani hukuuuu!!









ilinitoka 80k Shougaaa angu, nilipata 2, sitaki Unyonge kabisaaaa. 





Aliekuroga unajua keshakufa lakini!????🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo siruhhsiwi kusifia???
Ni hapo hapo.Pamefanana napo