Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usilie basi, si unatujua wanyaki: sikawii kuanzisha msiba hapa. Mwaya endelea kumshukuru baba yako na kumfurahia, na kuwa mtoto yule ambaye anamuheshimisha. Wanafanya mengi sana kwa ajili yetu na kesho zetu, and expect nothing in return; apart from kutushuhudia tunavyokua na kusimama wenyewe kwa miguu yetu. Kuwa na mtu wa kumuita "baba" ni neema na baraka kubwa sana...............
Ameeeeeeeen!!!!!!!
 
ubuyuuu si kaumwaga juzi chimbo, sasa A anasemaje hawa watu mnawachekea, dawa yao ukiwa name na akitaka kukuacha unampa tukio kubwa, hivi mnakubali vipi kuachwa kirahisi?

mbavu cnaaaa, nkawa najisemeaaa watu watachezewa watakuja kustuka too late, hawana chochote na magonjwa juu,. Waanze kuwapa tabu ndugu zao.

Maana hawaaambiliki yaan lol.
Sasa mtu akitaka kukuacha; utamlazimisha aendelee kuwa na wewe? Daah hiyo ndoa yenyewe imedumu kwa muda gani?

Kwa kweli wakae tu kwa kutulia
 
Sasa mtu akitaka kukuacha; utamlazimisha aendelee kuwa na wewe? Daah hiyo ndoa yenyewe imedumu kwa muda gani?

Kwa kweli wakae tu kwa kutulia
Anasema miezi 8, cna mbavu hapaaaah.
Akaulizwa umefaidi nn kwake, eti hakna zaidi ya kuzururishwa zenji, Mombasa, na hotel za kifahari hapq mjini kupiga ulabu,

Nkasema ama kweli upele humuota asiye na kuchaa, kuna mpemba sahivi ndo yupo mjengoni, kidampa kaachwa solembaaaaa, ila hawa watu sijui wakoje wanabadilisha mnooo.

Hawaogopagi hata, A naye mdomo tyuuh mbna hana lolote sahivi, kachundaa, haha
 
Back
Top Bottom