Anasema miezi 8, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna mbavu hapaaaah.
Akaulizwa umefaidi nn kwake, eti hakna zaidi ya kuzururishwa zenji, Mombasa, na hotel za kifahari hapq mjini kupiga ulabu,
Nkasema ama kweli upele humuota asiye na kuchaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mpemba sahivi ndo yupo mjengoni, kidampa kaachwa solembaaaaa, ila hawa watu sijui wakoje wanabadilisha mnooo.
Hawaogopagi hata, A naye mdomo tyuuh mbna hana lolote sahivi, kachundaa, haha