Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anasema miezi 8, cna mbavu hapaaaah.
Akaulizwa umefaidi nn kwake, eti hakna zaidi ya kuzururishwa zenji, Mombasa, na hotel za kifahari hapq mjini kupiga ulabu,

Nkasema ama kweli upele humuota asiye na kuchaa, kuna mpemba sahivi ndo yupo mjengoni, kidampa kaachwa solembaaaaa, ila hawa watu sijui wakoje wanabadilisha mnooo.

Hawaogopagi hata, A naye mdomo tyuuh mbna hana lolote sahivi, kachundaa, haha
Hao sponsors wasijekuwa na mambo kama yule muheshimiwa wa kidampa. Utadanga wee ila huendelei ng'ooo zaidi ya kula na kulala hotel nzuri.

Hongera zake lakini, angalau ameona mikato ya chumba
 
Back
Top Bottom