cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Hahahaha
Wajinga kweli yaani sijui wana akili gani
Yaani kule wananikera wasione mtu una account yako umefikisha vifollowers .







LinkedIn ni utapeli tyuuh, nilitoka kulee khaaaajHahahaha
Wajinga kweli yaani sijui wana akili gani
Yaani kule wananikera wasione mtu una account yako umefikisha vifollowers .







LinkedIn ni utapeli tyuuh, nilitoka kulee khaaaajNakuzingua mwamba, ngoja nile pension yangu kwa amaniUko huru mkuu selfika iko kama serengeti we chagua mnyama wako anayekuvutia![]()

Mie mzungu wa rohoooUtawezaje kununa mtu ka wewe![]()

nanunaje kwa mfano!!


Hapana siwezi dearUnapenda ndiyoo lkn na yeye pia akupende. Sasa waweza ng'ang'ania sehemu ambayo hupendwi mama?
Khaa! Pole zao.Wapo aisee
Stori hizi nilizisikia sehemu ...
Matapeli wa tuma kwa namba hii hadi leo bado wanatapeli tu
Wee mie pia tunaambatana msintanie Nani anataka kuachika weeehhh!!
Nipeleke mdogo angu...dada ako nisije achwaa![]()


Kwa uzoefu wangu wenye miili yao kununa nadra sanaMie mzungu wa rohooonanunaje kwa mfano!!
![]()
khakhakhaaaaTumeambiwa kupenda ni kihere here chetu eti tuwatiiau mimi ndio sielewi
Yes, na ndivyo nilivyo Mimi. Akinionyesha upendo, if na Mimi nimemzimia,,, basi namuonyesha upendo mara dufu zaidi. Tena atafurahia. No cheating

Ouk bas sawaaaaah!!!We si unanfaham au leo upo tofaut
Naona hii nayo ni kamba pensheni gani kijana?Nakuzingua mwamba, ngoja nile pension yangu kwa amani![]()
Mimi nitakua wa kwanza na hutoamini..embuu kwanza..🤔Hivi tangu lini msichana mwenye nundu yake akanuna? Utachekesha ujue🤣🤣🤣
Wee mie pia tunaambatana msintanie Nani anataka kuachika weeehhh!!![]()







mbna mie msimbe sasa.Wewe huyo wa kula pension? Acha hizo basiNakuzingua mwamba, ngoja nile pension yangu kwa amani![]()

We ukinuna mwaka huo Tz itakufa na njaa kwani haitanyeshaMimi nitakua wa kwanza na hutoamini..embuu kwanza..🤔
Kumbe tayari nilishaanza mnuno..nimesahau etii
Bas kheriOuk bas sawaaaaah!!!
Ntatoa neno siku ingne.