CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
We mwamba una matukiookm ni Kairuki hebu nikae kimyaa mie, nisiseme sanaaaaah, nitafukiwa chini niko hoi mnooo mie.
Woiiiiiiiih.



We mwamba una matukiookm ni Kairuki hebu nikae kimyaa mie, nisiseme sanaaaaah, nitafukiwa chini niko hoi mnooo mie.
Woiiiiiiiih.



Salama tu mkuu!Rafiki habari za siku mingi
Mimi napenda vyote..Yes, ni bora uwe na anayekupenda kuliko unayempenda wewe... Mimi Bora nipendwe kuliko kupenda.
Pamoja katika kundi acha tupende tu
Yeah,,, Kila hospital Ina faida zake na hasara zakeYeah nursing imekaa hivyo
Halafu hospital za private kuna male nurse wengi tofauti na huko kwingine
Nipo nimejaaaa teleee hapaaa km pishi la biriani kwa shishi food.
hahahaaa..
fanya wepesi nilale vizuri shoss akee sijakuona kitamboooo![]()








Mama Maiko 😆😆😆
😁😁😁 mambo ya gugluuuEwaaaa💕💕💕💕
Madam wewe ni balaa na nusu😍
Kiherehere kinaitwa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 akili zako sasa 🤣🤣🤣Niwacheeeeeeee naweee,
Mda wangu wa kudangaaa huu.
EwaaaPamoja katika kundi acha tupende tu


Badooo, mbna mtatafutana humu ndani? Kwa hili Vazi? Km suo kutapika bas mtaharishaaaaah. Weraaaaaaaaaah weraaaaaahNikuone shos akee vipi yale mapigo ya kwa tailor lakini;!??
Kwa hisani ya IT manager wako siyo?🤣🤣😁😁😁 mambo ya gugluuu
Wakati mama Maiko kamwambia Mary nunu kamnunie mumeo, nikaikumbuka hiyo taarabu ‘ bado hujanuna…Ooh nikajua shoga angu mwanakondoo.
Vivian atakoma na gubu la dada ake
Acha niwe nacho tu aiseeKiherehere kinaitwa
Mungu aliagiza hivi we unafanya vile..
,,Tena nakuwa kama zoba .Nkamu, sijapentaaaaaaaaaaa..........
.....
Unayempenda anakupiga matukio huko hadi akili inakuruka,
Anayekupenda anakutafuta wewe habari huna!
Rarely kupata waliobalance..yaani mtu anakupenda na wewe unampenda
Ikitokea hii aiseee ni
Tunaimba tu pambio za Hallelujah Hosana.

haipo hiyooo. We ukipenda tegemea maumivu na ukipendwa mwenzio ategemee maumivu. Lbd uamue kubadilika, umpende tu hivyo hivyo.Ntakubonda wee, shem wako yupi?Nilijua bwana shemeji
![]()








Badooo, mbna mtatafutana humu ndani? Kwa hili Vazi? Km suo kutapika bas mtaharishaaaaah. Weraaaaaaaaaah weraaaaaah
Hhahaha!! Eagerly waiting shos hio siku usiache kunitag !!Badooo, mbna mtatafutana humu ndani? Kwa hili Vazi? Km suo kutapika bas mtaharishaaaaah. Weraaaaaaaaaah weraaaaaah
Manager ni mie mwenyewe… hiyo ni kwa hisani ya my Procurement officer 😅😅Kwa hisani ya IT manager wako siyo?🤣🤣