cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Nambie ulichoonaaa shougaaa.hil
Nimeona nimeona mr Vocha santo sanaaa speed hata upepo ukasome mbona!
Nambie ulichoonaaa shougaaa.hil
Nimeona nimeona mr Vocha santo sanaaa speed hata upepo ukasome mbona!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...Badooo, mbna mtatafutana humu ndani? Kwa hili Vazi? Km suo kutapika bas mtaharishaaaaah. Weraaaaaaaaaah weraaaaaah
Hahaha sijui alituma meseji gani jamani, labda amzuge kuwa ni mambo ya surprise ya baby shower yake.Wakati mama Maiko kamwambia Mary nunu kamnunie mumeo, nikaikumbuka hiyo taarabu ‘ bado hujanuna…
Nae kakosea, ule mshtuko sijui itakuwaje… angekaza tu
huo myutongs ni hatareeee!!! mambo ya babu yako Shimba hayoo





kwan angekuwepo ungemuona kuhaha hapa.Mimi akinipenda mtu namlipa upendo huo huo, pengine na zaidi.haipo hiyooo. We ukipenda tegemea maumivu na ukipendwa mwenzio ategemee maumivu. Lbd uamue kubadilika, umpende tu hivyo hivyo.
Kweli ni kufanya yote, sasa ntakaa na mtu eti heshima na sihisi lolote moyoni nakaaje nae sasa? Sema kiwango cha mapenzi ya mwanamke kisizidi kiwango cha mapenzi ya mwanaume wake kwake.
Ah shost , zile stori tuEwaaa
Huyo wako na kupika anajua,Mungu akupe nini shost
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nkamu nilikutag na nikaiacha ikadumu hapa muda wa kutosha na hii ilikua ni marudio ulikimbilia wapi tena?Nkamu, sijapentaaaaaaaaaaa
Ntakubonda wee, shem wako yupi?
Nipo single mie,![]()


unaogopa ya wapopo umeona utulizane?Hata kikizidi ni sawa,,maadam anakupenda sana.Kweli ni kufanya yote, sasa ntakaa na mtu eti heshima na sihisi lolote moyoni nakaaje nae sasa? Sema kiwango cha mapenzi ya mwanamke kisizidi kiwango cha mapenzi ya mwanaume wake kwake.
Ukiona mwanamke kakutembela kwako mchele upo anataka ale chips kimbia chapu



Amekosea alivyoshtuka.. ngoja tuone hiyo tumoro..Hahaha sijui alituma meseji gani jamani, labda amzuge kuwa ni mambo ya surprise ya baby shower yake.
Btw nimeona "behind" yako. Mtoto una balaa wewe
Nakufahamia wapi nkamu? Mara uvae mask, mara ukate shingo😂😂Nkamu nilikutag na nikaiacha ikadumu hapa muda wa kutosha na hii ilikua ni marudio ulikimbilia wapi tena?
Lakini wewe unanifahamu vzr nkamu kwani na wewe unapata tabu na selfie?
Ah shost , zile stori tu
Yaani huwa nadandia treni tu mie ..
Mtu akisema hivi namsupport tu hivyo hivyo pia






hahahaaa siku mbilitatu hizi simuoni kabisa... atakua ametingwa msukuma Shimba ya Buyenze whenever you are We miss youuuuuuu✌️✌️✌️✌️!!kwan angekuwepo ungemuona kuhaha hapa.
Wapopo ndo wanaija ??unaogopa ya wapopo umeona utulizane?
Sis ake upooo?Happy birthday![]()









