Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,364
Mungu anijaalie miaka mingi zaidi niwafaidi wajukuu zako!Isije ikawa mjukuu wangu ndo katengeneza hii keki. Nitaua mtu mimi wallahi...
Japo we ni kijana wa hovyo ila hongera kwa kuongeza mwaka mwingine aisee. Mungu Akujalie na mingine mingi ijayo kwa kadri inavyowezekana![]()


















Late birthday wish mkuu mungu akujalie afya njema uishi miaka mingiii mkuu!!
Happy birthday Beberumwitu...
Kwahiyo mtaniacha nibondwe 🤣Mimi hata nguvu za kugombelezea sina😂😂
Morning G..Depal m-cute cute...![]()
Mpali? Ilianza kuniboa, nikaiacha ila lini sijui nikaona makaratasi yashaibwa nimeanza tena kuangalia 😁😁Na Huba
Dimples sawa👌Kumekucha hivi 😁😁 Lenie View attachment 2264384
Mzee wa chura👋
😅😅 mie ni Mmeru ujue.. mie sio shimboni mbe 🙈Dimples sawa👌
Ila hiyo Mzura imefanya upnekane kama Mmeru😁😁
Totoz zimetulia.. nyonyo nyonyo hips hips na trak inaonekana ni hatareeeee😉
Umeamkaje boss ladyTotoz zimetulia.. nyonyo nyonyo hips hips na trak inaonekana ni hatareeeee😉
Am Doing great mr Vocha!! Nimeamka salama salmin kabisa mkuu!Umeamkaje boss lady