Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246



unavijua virungu lakini eti??


sasa boski zima utanifilisi!!
Umeviona virungu vyangu
Nikimaliza kula nasukutua![]()
Hahahhaaa dada huyu ndo alitaka kunivunjia ndoa
Depal ukuje kutoa maelezo.mmh ndiyo nani huyo??
kikaratasi kipi mzee baba ?Muulize aisee..mimi manzi akiweka picha hapa bila kushika kikaratasi kilichoandikwa jf ni ngumu kumwamini
Mimi wa afya kabisa.Marahaba mdogo wangu..kwema?
My guts zinaniambia una vinasaba vya utumishi pale jumba jeupeKivipi Mkuu??
Afu kuna mtu akanitag Mimi, wewe na nani sijui... Nikapita kimya kama sijaona
Mependa venye umenyoa!!!New week, new perspective. Kazi njema wazeeView attachment 1253867
overstatement hiyo shemNdio shem



huyo Zed ndiyo yupi huyo?? Mmeniacha kwenye mataa!!
Hahaha mimi ni mteja apo
Nitaenda kuangalia 😂😂 eti anamtaka mmoja wetuAisee ilikuwa comment ya ngapi hiyo??







Shkamoo
Acha uzembe 😂😂😂mmh ndiyo nani huyo??
Hahahahah
Hilo jina lina shida gani eti jamani!! Walinikomalia haoo nilipata tabuu
Ndiwooo