Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Kiruu usisahau kunitag huko
Nitaenda kuangaliaeti anamtaka mmoja wetu
Nitaenda kuangaliaeti anamtaka mmoja wetu
Acha uzembe![]()
Hatutaki umtajenimemjua jamani au hadi nimtaje eti??

Nilikuwa sikuoni humu...dah kumbe Ni wewe?
Bila shaka utakuwa hujabadilika sana??
Nilikuwa sikuoni humu...dah kumbe Ni wewe?
Nilikuwa sijagunduaYeaaa nilibadiri koti
Nilikuwa sijagundua



mimi siyo wa kishua Saint anne ndiyo wa kishua mie nimekulia zangu uswahilini kwenye singeli na midundiko huko umbea ni sehemu ya maisha yetu
nyie tatizo wakishua sana
Sio vizuri jamanikimesharest in peace
Sawa totoee nimepigilia na kamsumari
Karma wa kishua.mimi siyo wa kishua Saint anne ndiyo wa kishua mie nimekulia zangu uswahilini kwenye singeli na midundiko huko umbea ni sehemu ya maisha yetu



wala hata,, nilikuwa na wenge tu maana nimetoka kulala ila akili ilivyokaa sawa jina likaja..
Baada ya kutokwa na jasho![]()
Okay...Polee.. Karibu mwezi sasa
Hivi mliishia wapi!?wala hata,, nilikuwa na wenge tu maana nimetoka kulala ila akili ilivyokaa sawa jina likaja..