Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Hizo picha za misosi zinatamanisha
Mbona kama ni za vumbi? Fagia bossNawezaje kutoa hizo layers??View attachment 1253768
ukiweka yako niite.


Hahahahaha na zile picha zake za kutamanisha na makopa kopa aliyokuwa anawapa mkimsifia
Nawezaje kutoa hizo layers??View attachment 1253768
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 atamshuku Z wakeumeona eenh?? Ni mwendo wa kushukuana tu!!
Saint anne na mimi nakushuku njoo hapa na wewe umtaje unayemshuku
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 atamshuku Z wakeumeona eenh?? Ni mwendo wa kushukuana tu!!
Saint anne na mimi nakushuku njoo hapa na wewe umtaje unayemshuku
Comments nyingi sana.Ipooo juu huko....kama 7 hvi
Loadin...
UsiwazeeeeeMsinisahau mimi jamani
Sanawatu wanatushuku tu eti





Hahahaah.waja wana laana aisee yaani humu humu tunabadilishwa hadi jinsia,, wewe itakuwa ni sababu ya jina lako lilivyo..
Nimekumbuka kuna uzi mtu kaanzisha eti ni member gani humu unayetamani kufanya naye mapenzi kuna mtu akajibu humu mwanaume hachelewi kumtaja mtu akidhani ni mwanamke kumbe dume lenzie![]()





Umeviona virungu vyangu 😂😂😂😂vidole nimeviona ase
utaoza meno jamani
Chapombe nakusalimuIpooo juu huko....kama 7 hvi

Hahahah
Afu kuna mtu akanitag Mimi, wewe na nani sijui... Nikapita kimya kama sijaonawaja wana laana aisee yaani humu humu tunabadilishwa hadi jinsia,, wewe itakuwa ni sababu ya jina lako lilivyo..
Nimekumbuka kuna uzi mtu kaanzisha eti ni member gani humu unayetamani kufanya naye mapenzi kuna mtu akajibu humu mwanaume hachelewi kumtaja mtu akidhani ni mwanamke kumbe dume lenzie![]()
Iwekee thread hii utapata suluhishoNawezaje kutoa hizo layers??View attachment 1253768
Chapombe nakusalimu![]()