Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Kwa hio 50 kwa 50, sasa ombeni na mechi walimu netball, uingie kati pale, hio mechi nitakopa hata nauli.No shule zote zina form 1-6! sisi advance ni boys tu wanakaa boarding na olevo ni mixa boys and girls ila day kwao Advance ni girls tupu na wanakaa boarding olevo mixa then
kwenye netball wao waliweka majembe yao ya advance olevo waliokoteza waliocheza na girls wetu wa olevo
Huku kwenye football boys wetu majembe mengi yalitoka advance olevo tuliokoteza pia kucheza na boys wao wa olevo!
Nmeupenda huu ujasiri maana jf selfika manzi wengi huwa anajifanyaga matawi ya twiga
Utakuwa umekosea uzi ,mbona humu tupo simple sana ?
Hapana ni matibabu tu
Mdada mzuri huyooo. Cheki wavulana hapo pembeni wana mkodolea macho woiiiiiiih.Acha tu mdogo wangu!! Halafu Jana tulikua na interschool competition weeeee netball ni walitunywesha magoli mpaka nikakukumbuka
Okayhumu tupo real person??? Au?
Shost ugua poleee!!! Mic uOooh Wigelekelo nashukuru kwa kunikumbuka. Niko naumwa jamani, hoi taabani. Mpaka kuingia huku nashindwa kabisa. Nina dozi ya sindano
Hahahaaa...na walimu tulicheza ila tulitoka droo!! Walimu wa kike kwa kike na wa kiume kwa kiume pia!!Kwa hio 50 kwa 50, sasa ombeni na mechi walimu netball, uingie kati pale, hio mechi nitakopa hata nauli.
Mimi niliwahi kupiga x-ray ya kifua..Dah yule Kaka alinichungulia kifua changu π€£ Mweee..anakuja kuniweka kile kibao vizuri ,Ah pole
Ugonjwa hauna siri .. kama ultrasound ndo kabisa maana unashusha nguo hadi chini .
Nimerudia nadhani wewe ushaiona shos!!Sijaonaaa!!!
Eti nyumbaniKwani nyumbani kuna nini??
Ni sehemu salama zaidi.
Tutanywea Kanisani.
Haya weka picha sasa.
Pole.Oooh Wigelekelo nashukuru kwa kunikumbuka. Niko naumwa jamani, hoi taabani. Mpaka kuingia huku nashindwa kabisa. Nina dozi ya sindano
Tayari nshapita muda mrefu mbona πππUshapita au badooo?
Nyumbani bia hazishuki kwani?Eti nyumbani
Kwani analeta mahari
Nendeni club
Na uvae kama wa mataifa
Paja nje takle wazi
Mgongo uonekane
Sio uvae ki Abihud
Netball tulifungwa 15 kwa 9 ila tukalipiza kwenye football
Wao Advance ni girls tupu na wanajua netball sio kitoto nasie advance ni boys tupu Vijana tunawapa mazoezi ya football kutosha so walau tulibalance ushungu!!
AlifauduMimi niliwahi kupiga x-ray ya kifua..Dah yule Kaka alinichungulia kifua changuMweee..anakuja kuniweka kile kibao vizuri ,
Akiyanani..ikabidi nijikaze tu kuchunguliwa
Hahaha nomaMimi niliwahi kupiga x-ray ya kifua..Dah yule Kaka alinichungulia kifua changuMweee..anakuja kuniweka kile kibao vizuri ,
Akiyanani..ikabidi nijikaze tu kuchunguliwa
Nyumbani haionigi, siwezi jiachia, nitapita kusalimia tuKwani nyumbani kuna nini??
Ni sehemu salama zaidi.
Tutanywea Kanisani.
Haya weka picha sasa.
Yaniii walikua wamebanaje mawowowo yao hadi Walimu wetu bachelors walitokwa na mimacho kila mtu niπ³π³π³π³π³π³π³π€£π€£π€£!!Mdada mzuri huyooo. Cheki wavulana hapo pembeni wana mkodolea macho woiiiiiiih.
Ukitaka nionje pombe lazima iwe nyumbani.Nyumbani haionigi, siwezi jiachia, nitapita kusalimia tu