Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Hiyo situation huwez elewa kama haijakutokea acha tu afu chafya ikubane mm nilijikojolea chini ya uvunguUngetoka tu mzee
Hiyo situation huwez elewa kama haijakutokea acha tu afu chafya ikubane mm nilijikojolea chini ya uvunguUngetoka tu mzee
Hehehee, watu wanahonga gari za mil 150, unazungumzia Prado ya mil 40, gari hizi wanawake mjini wanahongwa mnooo, utakuwa ni mshamba kama hujui watu wanahonga gari wanawake, hivi vi ist ndio usiseme. acha ushamba mkuu.






hizi story mnazoleta humu majukwaani wengine hatuna mda wa kuzikokota. Tunazibwaga hapa hapa. Haina kabayaaFresh sana, mambo vipi???
Kuhonga kunakuwajehizi story mnazoleta humu majukwaani wengine hatuna mda wa kuzikokota. Tunazibwaga hapa hapa.
Usiseme kuhonga sema kukopesha km sio kuazimisha, unakujua kuhonga wee? Hebu huko. Lol
isijekua na mm nachanganya madesaHahaha viportable lazima Ila kama mke wa mtu sitak mazoea kbsaAh hongera ... Kwa yesu kuna raha
Na viportable je (jokes)
Mimi natoka asee,, labda kama ulikuwa unajua kwamba she ana mwamba basi ulifanya vyema kubaki huko chini🤣🤣Hiyo situation huwez elewa kama haijakutokea acha tu afu chafya ikubane mm nilijikojolea chini ya uvungu
Wanawake wanawake wanawake nawaita Mara 3 siku nitatoa matukio 10 tu ya hatari ya wanawakeHivi baadhi ya wanaume kwa nini mnakua na mawazo ya hivi? Eti ukimpa hela atampa mwanaume mwingine Labda uwe hujampenda kweli.
Nikihongwa mshedede wake inatoshaaaa, hiyo vocha ya buku mbna atakua amenipendelea sana huyo mtoto wa mama mkwe? Nitamuwekea bango pale TAZARAWanawake wangapi wamefunguliwa miradi ya mamilioni, kama hujawahi kuhongwa usifikiri watu hawahongi, kama unahongwa mwisho vocha ya 1000 hizo ndio level zako mkuu, usifikiri wengine hawahongwi.










Ila na wewe inabidi ujitafakari kwa nn mabalaa yanakuangukia kwa speed hivyoWanawake wanawake wanawake nawaita Mara 3 siku nitatoa matukio 10 tu ya hatari ya wanawake


Nikihongwa mshedede wake inatoshaaaa, hiyo vocha ya buku mbna atakua amenipendelea sana huyo mtoto wa mama mkwe? Nitamuwekea bango pale TAZARA
Weraaaaaaaaah Weraaaaasaah,![]()

Siku hzi nimeachaIla na wewe inabidi ujitafakari kwa nn mabalaa yanakuangukia kwa speed hivyo![]()
Kuhonga kunakuwajeisijekua na mm nachanganya madesa






usinichekeshe dea, nimekumbuka shouga angu M1, aliyavagaa khaaa ila watu jamanMke wa mtu sumuHahaha viportable lazima Ila kama mke wa mtu sitak mazoea kbsa
Safi kabisa, mtoto yupo kwenye mikono salama, akikachoka unamtupia ka Audi A1 kanamtosha kuendea salon, sio mwanamke anaishi kinyonge, unamfungulia na ka biashara ka mils kadhaa calls za pesa ya saloon zipungue, bado anashangaa unamwachia li nyumba ile bado haelewi nini cha kufanya unamchukua vacation Hawaii/Zanzibar unaenda huko huko ku propose, mmeshaoana honeymoon Dubai akaone dunia, ukiona parefu mrushie Zanzibar hapo napo kuna maeneo sio pa kinyonge.
😃😃😃😃😃 Dah! Nimecheka na kuamka kitandani nikasake pesa niwe kama mtu wa kwenye hii pichaaa .. Mtoto mzuri ukimfanyia haya akichepuka huyo haendi mbinguni ni motoni moja kwa moja na kijana shetaniSafi kabisa, mtoto yupo kwenye mikono salama, akikachoka unamtupia ka Audi A1 kanamtosha kuendea salon, sio mwanamke anaishi kinyonge, unamfungulia na ka biashara ka mils kadhaa calls za pesa ya saloon zipungue, bado anashangaa unamwachia li nyumba ile bado haelewi nini cha kufanya unamchukua vacation Hawaii/Zanzibar unaenda huko huko ku propose, mmeshaoana honeymoon Dubai akaone dunia, ukiona parefu mrushie Zanzibar hapo napo kuna maeneo sio pa kinyonge.
Pamoja sana rafiki!!Unitag mkuu
Nakuambiaje ukipata manzi unamuelewa honga, vigari hivi vya mil 16-20 (kama uwezo ni within)unashindwaje kumhonga mwanamke unamuelewa, mwanamke wako ni reflected image yako, akiwa vizuri sifa zinarudi kwako, hata kama mtu aje akukute una kanda mbili atakupigia salute, akizingua ni juu yake, atajua mbele ya safari.😃😃😃😃😃 Dah! Nimecheka na kuamka kitandani nikasake pesa niwe kama mtu wa kwenye hii pichaaa .. Mtoto mzuri ukimfanyia haya akichepuka huyo haendi mbinguni ni motoni moja kwa moja na kijana shetani
Shiiiiiiit!! aseeeeee hatari lakini salama.