cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Sasa what happened Gar haikuachwa walizinguana au?





hivi wee una amini? JF hujaijua bado? Khaaah. Wee soma pitisha kushoto, ukiyabebaa utaachwa ulipoweka password ya App yako. KhaaaahSasa what happened Gar haikuachwa walizinguana au?





hivi wee una amini? JF hujaijua bado? Khaaah. Wee soma pitisha kushoto, ukiyabebaa utaachwa ulipoweka password ya App yako. KhaaaahWala asikudanganye dea, ni futuhi tyuuh. Huijui JF wee?Lol.![]()

eti futuhi. Coca wanaume wanaohonga wapo ila ni wa kumulika na tochi.hivi wee una amini? JF hujaijua bado? Khaaah. Wee soma pitisha kushoto, ukiyabebaa utaachwa ulipoweka password ya App yako. Khaaaah



Sio kwa andiko aliloleta yeye, kumuingizia dada wa watu asiyehusika, sasa kwan alihonga? Mbna prado aliondoka nayo.eti futuhi. Coca wanaume wanaohonga wapo ila ni wa kumulika na tochi.








Mh! kweli?, hata kama sina kitu lazima nihakikishe mahitaji ya kawaida tunasaidiana, hata kama sina pesa ya kununua Passo.Sijakataa, wanaume wanaohonga wapo ila ni kama bahati kumpata/kuwapata.
Ila kuna watu wana bahati zao. Na shida mwanamke anaweza pata hiyo bahati na hata asiitumie vizuri kwa manufaa yake mwenyewe.
Sijawahi kumzungumzia nimesoma blogs nyingi, nimesoma posts nyingi sana humu jf, lakini sikuwahi hata kutia comment moja.Wala asikudanganye dea, ni futuhi tyuuh. Huijui JF wee?Lol.![]()
Wanaume wa aina hii wachache au kama unavyosema labda issue ni anakua hajapenda kweli hivyo kuingia gharama kwa ajili ya mwanamke wake anaona shida. Wanaume wengi asa hivi nao wamekua omba omba wanataka kuhudumiwa , hatar sana hii.Mh! kweli?, hata kama sina kitu lazima nihakikishe mahitaji ya kawaida tunasaidiana, hata kama sina pesa ya kununua Passo.
Na hakuna kitu sipendi nione mpenzi wangu ana shida ambazo zipo ndani ya uwezo wangu kuzitatua, sasa hao wanaume wengine sijui watakua wana roho za namna gani, itakuwa hakupendi.
Sio kwa andiko aliloleta yeye, kumuingizia dada wa watu asiyehusika, sasa kwan alihonga? Mbna prado aliondoka nayo.
![]()




Hehehee, watu wanahonga gari za mil 150, unazungumzia Prado ya mil 40, gari hizi wanawake mjini wanahongwa mnooo, utakuwa ni mshamba kama hujui watu wanahonga gari wanawake, hivi vi ist ndio usiseme. acha ushamba mkuu.Asitutetemesheee, eti Prado, which? Who? Where?
![]()
Nasubiri pm weeee huji
Wanawake wangapi wamefunguliwa miradi ya mamilioni, kama hujawahi kuhongwa usifikiri watu hawahongi, kama unahongwa mwisho vocha ya 1000 hizo ndio level zako mkuu, usifikiri wengine hawahongwi.Sio kwa andiko aliloleta yeye, kumuingizia dada wa watu asiyehusika, sasa kwan alihonga? Mbna prado aliondoka nayo.
![]()
😂, Mifano ninayo mingi, kuna dada namfahamu anasafirisha ngozi za ng'ombe kwenda Japan, jamaa kamnunulia Nissan Xtrail ya kupigia root za hapa na pale, amempangia nyumba kubwa, pesa ya biashara kapatiwa na jamaa kamfundisha hio biashara, watu wanahonga.Wanaume wa aina hii wachache au kama unavyosema labda issue ni anakua hajapenda kweli hivyo kuingia gharama kwa ajili ya mwanamke wake anaona shida. Wanaume wengi asa hivi nao wamekua omba omba wanataka kuhudumiwa , hatar sana hii.
Nini tena mkuu?
Hamna tatizo lolote ni kalamu flani hiyo.Nini tena mkuu?
😃😃 kiatu tuuKiatu?