Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
😁😁😁 Dah aseeeh!Mama mimi nasema vizuri tu kama haelewi namtolea na mifano kabisaila sasa lazima na yeye awe vizuri kuna wale hata ukimuelekeza anakuangalia tu
😁😁😁 Dah aseeeh!Mama mimi nasema vizuri tu kama haelewi namtolea na mifano kabisaila sasa lazima na yeye awe vizuri kuna wale hata ukimuelekeza anakuangalia tu
Ndio nataka kuona huo uzuri wake
@Alayna ni shombeshombe fulan hivi toto la kishua mpka kigogo fulan Ali data kwake alitaka kumuweka ndani mtoto ana murano namba DBaadae nikitupia nita watag genetic
Una sauti nzuriasante
Saluni Jana nimenyoosha tu

Hongera kwake, watu na bahati zao., Mifano ninayo mingi, kuna dada namfahamu anasafirisha ngozi za ng'ombe kwenda Japan, jamaa kamnunulia Nissan Xtrail ya kupigia root za hapa na pale, amempangia nyumba kubwa, pesa ya biashara kapatiwa na jamaa kamfundisha hio biashara, watu wanahonga.
Yaan buku kama bukuYesu nitoe kwenye level ya vocha,loo![]()

bora nibaki peke yanguasante
Saluni Jana nimenyoosha tu
Aah sio kweli mkuu usinisingizie@Alayna ni shombeshombe fulan hivi toto la kishua mpka kigogo fulan Ali data kwake alitaka kumuweka ndani mtoto ana murano namba D
Kuhonga mwanamke ( mama, rafiki ) hiyo sawa haipingwi.. na inakuwa sio kuhonga ni ku invest.. Ila ku invest kwa muhuni hatari😂, Mifano ninayo mingi, kuna dada namfahamu anasafirisha ngozi za ng'ombe kwenda Japan, jamaa kamnunulia Nissan Xtrail ya kupigia root za hapa na pale, amempangia nyumba kubwa, pesa ya biashara kapatiwa na jamaa kamfundisha hio biashara, watu wanahonga.
Huo unywele wifi nitakuja unipunguzie 😍🙏🙏asante
Saluni Jana nimenyoosha tu
Wakati una Mercedes-Benz C200 CGI asikusingizie huyo na murano 😃😃Aah sio kweli mkuu usinisingizie
Karibu wifiHuo unywele wifi nitakuja unipunguzie 😍
Asante dear🙏Unywele umetulia
humu naona mnaitana wifi wifi shemeji shemeji.. mbona hamtutambulishi hao big boys 😃😃Karibu wifi
Actually bora nibaki single(in ishomile voice)Yaan buku kama bukubora nibaki peke yangu
Umechelewa huyo mrembo WiFi angu kaka angu anamiliki chombo hikohumu naona mnaitana wifi wifi shemeji shemeji.. mbona hamtutambulishi hao big boys 😃😃
Ww kubal nikuweke ndaniActually bora nibaki single(in ishomile voice)
Upako Wa na level ya vocha sitaki portable mwenzangu
Salama lkn![]()
Hiyo sauti umeisikia wapi jmn😂Una sauti nzuri![]()
Ah kidogo tuAsante
Ngoja tu ninenepe
![]()