Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😬😬😬 Haya mambo ya Big boys. Yanafanya vijana tuwe wanyonge kitaa.. tukionewa huruma mrembo anakuletea bills za 5 millions usipotimiza ujiandae kutafuta dawa ya maumivu ya kichwaNakuambiaje ukipata manzi unamuelewa honga, vigari hivi vya mil 16-20 (kama uwezo ni within)unashindwaje kumhonga mwanamke unamuelewa, mwanamke wako ni reflected image yako, akiwa vizuri sifa zinarudi kwako, hata kama mtu aje akukute una kanda mbili atakupigia salute, akizingua ni juu yake, atajua mbele ya safari.
Yaani unamwagia daily mishahawa halafu kwenye matunzo ni 0, ni ugaidi.





