Mimi na wewe tunakuwaga Hadi saa 7, sijui huwa tunatafutaga nini humuMimi mtanisamehe ndio kwanza kumekucha au mtanifungia mlango nikae nje![]()


Hahha nimeotea tu dearumejuajeeeee. Mule mule



Ulale eti
Na kwako piaaMambo si ndio hayo sasa hakuna kuzubaaaa!! Chumba nishawaandalia kabisa ngoja nijiongeze
Mlale unono wapendwa wangu![]()

Mama ni hatari, kwa TZ 11 ujikute unazurura na heels utauona motoHeels zinanoga na usafiri private au Kama church na kwenye event hivi .
Sio hivi unaenda sehemu tu uzivae a tu
Utajuta na unaweza usipate seat kwa daladala

hizi navaa mara chache sana kama nina mtoko na kuna usafir wa kueleweka vinginevyo vinakaaga tu kwene shoe rack. Kanisan navaa zile mid heels ambazo n easy hata kutembea kaumbali ka kishkaji.
Unataka nini mremboTeh teh teh na Mimi niruhusu bhn
Ngoja niiianze hii Kazi. Round ngapi Kwa siku? 50 auJaribu hiyo uone
Uruke kamba zako vizuri upate matokeo mema
Pia zingatia chakula tu mwaya ..
Upweke mama , acha tu. Nakaa alone muda mwingi ikifika night humu ndio kunanipa kampan usiku usogee.Mimi na wewe tunakuwaga Hadi saa 7, sijui huwa tunatafutaga nini humu![]()
Mie huwa hatupatani na heelsNapenda heels mno ila sasa mtihani kuzurura nazo,huwa navaa mara chache sana.
Mama ni hatari, kwa TZ 11 ujikute unazurura na heels utauona motohizi navaa mara chache sana kama nina mtoko na kuna usafir wa kueleweka vinginevyo vinakaaga tu kwene shoe rack. Kanisan navaa zile mid heels ambazo n easy hata kutembea kaumbali ka kishkaji.
Sawa dear, will doPale kwenye search bar andika fasting apps au intermittent fasting .
Zitakuja nyingi nashauri usome reviews kwanza kabla kudownload maana app nyingine ads tu zimejaa .
Dah!! MbaliTulia hapo hapo mida ya kuanzia saa nane na dakika 22 naweka kitu
Anzia 30 halafu uongeze taratibu dearNgoja niiianze hii Kazi. Round ngapi Kwa siku? 50 au
Unene mwingine ni tishio la afyaMimi niliota kitambi na mashavu jamanbora nilivyopungua. Nawaza nikipata tena mwili wapi pajaa hata sielew looh

