Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli kabisa vijana sijui wanakwama wapi na hili swala now limekuwa kama fashion
Vijana akili mbaya, akili zina hama.. kuchepuka kwake inakuwa kawaida tu hofu ya Mungu imepotea .. Maana ukiwa na hofu na Mungu uta hofu kumtenda mwenzako dhambi..
 
Cheating is bad,,, talk na patner wako face the truth na consequences zake,, kama alivyosema isaac kwamba action ina reaction,,,, jua kwamba things won't be the same,, ukiona huyawezi jiengue peacefully,, move on,, ila kama mna watoto,,, goodluck
 
Sio kwamba wanawake wana abudu ndoa. Tatizo lipo kwenye foundation. Mwanamke ni receiver, Mwanaume ana nafasi kubwa ya kumjenga mwanamke na kummbomoa. Mwanamke kuwa apendavyo mwanaume wake.. inabidi mwaume ajue anahitaji nini kutoka kwa mwenza wake then amjenge sawa sawa na na anavyotaka kamwe hato ona mapungufu kwa mpenzi wake. Shida watu siku hizi wanapenda viliyo undwa, sasa mie niki muunda mwanamke ukikaa nae wiki moja tu utakufa kwa pressure .. maana mtu wangu lazima awe mshari sana na ndio navyo muunda hivyo.. 😃😃😃 sasa huyo nikiachana nae atae kuja kukaa nae lazima aondoe ushari na aweke upole bila hivyo hawezi ishi nae
Nope; since tunazaliwa, tunakua; we have been raised to become wives. Without marriage we are incompete; it's a life time achievement for us. Our purpose of existence is simply marriage; we have no life apart from it.
So lazima uolewe, na hakuna sababu yoyote ya kukutoa ndoani hata kama ni life threatening; ukiondoka tu wewe ni mwanamke mpumbavu uliyevunja ndoa yako. Mfumo dume umetuaminisha hivyo.

Ndiyo maana Leo mwanamke akisema anatoka kwenye ndoa yake kisa mume amezidi michepuko; dunia nzima itamcheka. Kwa sababu ndoa ni ya mwanamke; mwanaume ana uhuru wa kufanya anavyojisikia na mwanamke unatakiwa ukae hapo utulie; umepata heshima kwa kuolewa. Hadi siku umekuwa abused umekufa kwa magonjwa Sugu, vipigo, depression au presha ndiyo tunaanza kupiga kelele na kusema bora marehemu angeondoka.
 
Nope; since tunazaliwa, tunakua; we have been raised to become wives. Without marriage we are incompete; it's a life time achievement for us. Our purpose of existence is simply marriage; we have no life apart from it.
So lazima uolewe, na hakuna sababu yoyote ya kukutoa ndoani hata kama ni life threatening; ukiondoka tu wewe ni mwanamke mpumbavu uliyevunja ndoa yako. Mfumo dume umetuaminisha hivyo.

Ndiyo maana Leo mwanamke akisema anatoka kwenye ndoa yake kisa mume amezidi michepuko; dunia nzima itamcheka. Kwa sababu ndoa ni ya mwanamke; mwanaume ana uhuru wa kufanya anavyojisikia na mwanamke unatakiwa ukae hapo utulie; umepata heshima kwa kuolewa. Hadi siku umekuwa abused umekufa kwa magonjwa Sugu, vipigo, depression au presha ndiyo tunaanza kupiga kelele na kusema bora marehemu angeondoka.
Sijataakaa ndoa, na ndoa pia sio lazima ( acording to bible ila kwa baadhi ya watu ) tofautisha kuabudu ndoa na kuishi ndoa katika origin ya ndoa. Origin ya ndoa haina nani mwenye nguvu kuliko mwingine au alie dhaifu kuliko mwingine. Origin ya ndoa ni perfection, katika ya mwanamke na mwanaume. Ukiingia katika imani unapata picha kamili na hauto ona mfumo dume wala foundation ya hivyo
 
Sijakaa ndoa, tofautisha kuabudu ndoa na kuishi ndoa katika origin ya ndoa. Origin ya ndoa haina nani mwenye nguvu kuliko mwingine au alie dhaifu kuliko mwingine. Origin ya ndoa ni perfection, katika ya mwanamke na mwanaume. Ukiingia katika imani unapata picha kamili na hauto ona mfumo dume wala foundation ya hivyo
Ukiongelea upande wa Imani tutakubaliana 100%. Tungefuatisha msingi wa ndoa unavyotutaka tuishi; aisee yote haya yasingekuwepo. Kristo(mume) na Kanisa (mke); tungeishi maisha fulani amazing sana. Too bad huyo Kristo (mume) wa siku hizi mweeeeeeeeeeeeeeeeeh, yupo busy kutegea mke akosee
 
Ukiongelea upande wa Imani tutakubaliana 100%. Tungefuatisha msingi wa ndoa unavyotutaka tuishi; aisee yote haya yasingekuwepo. Kristo(mume) na Kanisa (mke); tungeishi maisha fulani amazing sana. Too bad huyo Kristo (mume) wa siku hizi mweeeeeeeeeeeeeeeeeh, yupo busy kutegea mke akosee
Na nyie muwe na akili dogo.. muangalie watu wa ku date nao
 
Kitu kimoja ambacho yoyote yule atakaeiona hii comment anatakiwa akijue ni kwamba, kwa hapa jF tabia(nzuri) ya mtu inatokana na uwezo wa mtu huyo kutunga story au comment zenye kuvutia na uandishi mzuri, mwisho wa siku uhalisia wa maisha yake wanaujua wale wanaomzunguka sio hapa kwenye fake Id's.

Kwa jinsi watu mnavyotema nondo na kujisifia juu ya migogoro ya mahusioano, laiti kama mngeishi hata kwa nusu tu ya mnayosema humu, basi jamii ingekuwa mahali salama sana.

Humu tukitafuta wadada ambao hawajazidisha wanaume watano tangu waanze mahusiano tutawatafuta kwa tochi, ila wapo busy kutoa nasaha juu ya michepuko na mahusiano.

HAYA MAISHA NI KUISHI TU.
 
Nadharia nyingi sana kwenye huu mjadala unaoendelea (me na ke kuhusu uchepukaji)

Achaneni na nadharia vijana. Ingieni kwenye practicals muone mambo yalivyo. Sasa mnadonoa donoa tu vinadharia vya feminism hapa na pale. Mara Evolutionary Biology...na frustrations tu na mabezo....mh!

Nendeni kwenye mzizi hasa wa tatizo. Kwa nini wanaume wanacheat? Kwa nini wanaona kama ni sawa tu katika mtazamo wao? Kwa nini ni fatal mistake kwa mwanamke kucheat?

By the way, tafiti mbalimbali zimeonyesha kwamba rate ya kucheat kwa wanaume na wanawake ni karibia zinalingana tu na hakuna wa kumcheka mwenzake. Inaonekana kama wanaume ndo wanacheat sana kwa sababu hufanya mambo yao waziwazi. Wanawake, pengine kutokana na mikatale ya kijamii, mambo yao mengi hufanyika kwa siri kubwa. Ndo maana kuna msemo kwamba mpaka ukamshike mkeo anacheat basi jua tu ama kaamua ujue au kachoka liwalo na liwe!

Panueni wigo wa mjadala na ingieni katika uhalisia zaidi. Mlioko kwenye ndoa toeni real case studies madogo wa nadharia wajifunze zaidi
 
Nope; since tunazaliwa, tunakua; we have been raised to become wives. Without marriage we are incompete; it's a life time achievement for us. Our purpose of existence is simply marriage; we have no life apart from it.
So lazima uolewe, na hakuna sababu yoyote ya kukutoa ndoani hata kama ni life threatening; ukiondoka tu wewe ni mwanamke mpumbavu uliyevunja ndoa yako. Mfumo dume umetuaminisha hivyo.

Ndiyo maana Leo mwanamke akisema anatoka kwenye ndoa yake kisa mume amezidi michepuko; dunia nzima itamcheka. Kwa sababu ndoa ni ya mwanamke; mwanaume ana uhuru wa kufanya anavyojisikia na mwanamke unatakiwa ukae hapo utulie; umepata heshima kwa kuolewa. Hadi siku umekuwa abused umekufa kwa magonjwa Sugu, vipigo, depression au presha ndiyo tunaanza kupiga kelele na kusema bora marehemu angeondoka.
Mfumo dume ni mfumo wetu pendwa.
 
Ukiongelea upande wa Imani tutakubaliana 100%. Tungefuatisha msingi wa ndoa unavyotutaka tuishi; aisee yote haya yasingekuwepo. Kristo(mume) na Kanisa (mke); tungeishi maisha fulani amazing sana. Too bad huyo Kristo (mume) wa siku hizi mweeeeeeeeeeeeeeeeeh, yupo busy kutegea mke akosee
Na huyo mke mweeeeeeee ni picky huyo,,
 
Back
Top Bottom