Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Halafu mwanamke akichepuka anaonekana shetani wakati anachepuka na nyie wenyewe.Hahaha ni mapito ya maisha tu, na jinsi sisi wanaume tulivyo si ajabu ulishawahi kuwa mchepuko wa mwaaume fulani bila kujua.
Kama kuwa mchepuko bila kujua sawa...lakini Kwa akili zangu timamu siwezi kubali kuwa mchepuko wa mtu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





.
!
madame, wafikiri tufanyeje ss na sie??. Twajiandaa na mafyekelo tu ndani