Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mungu azidi kutupa hekima.

Na kingine tusiwe wabinafsi; Kila mtu anawaza tu anataka afanyiwe moja, mbili, tatu. Hakuna anayewaza kumfanyia mwenzie mazuri; tunawazia tu mavuno, hakuna anayetaka kupanda mbegu kwa mwenzie.
Ubinafsi ni wa kuupinga Kwa nguvu zote. Mtu anataka yeye ndo afanyiwe tu hivi na hivi. Anaruka kwenye maoni yake tu peke yake. Hafikirii kwamba nikae na mwenzangu nimuelezee vizuri kuwa napenda hili na hiki, Ili abadilike. Lakini solution kuu inayobakia ni uchepukaji tuu... Mwanamume asiyechepuke ajengewe sanamu lake Kwa kweli.
 
Miaka ya 2014 niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mwenye wivu sana alikuwa ni mchepuko mkoa fulani ambako nilienda kikazi , yeye alikuw anatak asione hata namba ya mwanamke yoyote kwenye simu yangu isipokuwa mke wangu tu, na nisipokee simu yoyote baada ya saa mbili usiku, yani alikuwa ni mtu wa kulalamika bila sababu za msingi.

Siku moja usiku baada mgogoro wa SMS nikijua tayari nimesha-solve tatizo na kila kitu kitakuwa sawa, ile nimelala usiku nikawa naota kama napigana usingizini ile nakuja kushituka nakuta mto puani mtu kanikalia usoni na mikono kaikandamiza na magoti yake, nikaparangana weh bila mafanikio (alikuwa ni mnene kidogo)........nikakunja mguu kwa nguvu ili nimpige na goti mgongoni nikawa nimefanikiwa maana alipiga ukunga akalegea nikawa nimejitoa.

Nilipomuuliza anadai "bora tufe wote tu, huwezi kunichezea mimi wakati nimejitoa sana kwako".........aiseeh nilimpiga kwa uchungu sana siku hiyo, maana ilikuwa nikitaka kuacha na-emagene jinsi ambavyo ningekuwa kwenye jeneza na jinsi ambavyo familia yangu ingenililia napata hasira na uchungu napiga tena. Asubuhi yake nilimpiga chini sikutaka hata maongezi.

WIVU UKIZIDI SANA ,SIO SALAMA KWENYE MAPENZI....hapo nawaza angeamua kutumia kisu sijui ingekuwaje tu.
Huyo mwanamke ni mgonjwa wa akili
 
Ubinafsi ni wa kuupinga Kwa nguvu zote. Mtu anataka yeye ndo afanyiwe tu hivi na hivi. Anaruka kwenye maoni yake tu peke yake. Hafikirii kwamba nikae na mwenzangu nimuelezee vizuri kuwa napenda hili na hiki, Ili abadilike. Lakini solution kuu inayobakia ni uchepukaji tuu... Mwanamume asiyechepuke ajengewe sanamu lake Kwa kweli.
Tupo tumejaa tele mkuu.
 
Ubinafsi ni wa kuupinga Kwa nguvu zote. Mtu anataka yeye ndo afanyiwe tu hivi na hivi. Anaruka kwenye maoni yake tu peke yake. Hafikirii kwamba nikae na mwenzangu nimuelezee vizuri kuwa napenda hili na hiki, Ili abadilike. Lakini solution kuu inayobakia ni uchepukaji tuu... Mwanamume asiyechepuke ajengewe sanamu lake Kwa kweli.
Mwanaume akisema hachepuki; anaambiwa hana hela au ana upungufu wa nguvu....Mungu atusaidie
 
Ubinafsi ni wa kuupinga Kwa nguvu zote. Mtu anataka yeye ndo afanyiwe tu hivi na hivi. Anaruka kwenye maoni yake tu peke yake. Hafikirii kwamba nikae na mwenzangu nimuelezee vizuri kuwa napenda hili na hiki, Ili abadilike. Lakini solution kuu inayobakia ni uchepukaji tuu... Mwanamume asiyechepuke ajengewe sanamu lake Kwa kweli.
Nipo hapa nisie chepuka .. Sanamu langu vipi
 
Back
Top Bottom