Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,796
Selfika
Ohoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hongera!
Uliuza mechi?
Hahaha hawa wanawake hawaHaya sasa. Wanaume mpo? Kibao kimegeuka....Sad [emoji24]
View attachment 2260572
Haya sasa. Wanaume mpo? Kibao kimegeuka....Sad [emoji24]
View attachment 2260572
[emoji16] vibao vimegeuka tayari. Ama kweli jinsia zote siku hizi ni makatili.. Tukae Kwa password tuu.Haya sasa. Wanaume mpo? Kibao kimegeuka....Sad [emoji24]
View attachment 2260572
Baharia karudi kapitiliza kwenda bafuni moja kwa moja[emoji16] vibao vimegeuka tayari. Ama kweli jinsia zote siku hizi ni makatili.. Tukae Kwa password tuu.
Amina🙏🙏Mimi na akina nkamu wako wote tunakutakia uponaji wa haraka bro [emoji1545][emoji1545]
Siku hizi ni ngoma drooHahaha hawa wanawake hawa
Ahsante sana boss lady🙏🙏Get well soon our Mr Vocha! Buroo ya wanyaki [emoji6][emoji12]!!
Ni afadhali hata kukitwa jisu la moyoni ukiwa umelala kuliko kumwagiwa maji au mafuta ya moto aisee.Wameanza kutuua tena [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Aisee...hii sasa hatari..Haya sasa. Wanaume mpo? Kibao kimegeuka....Sad [emoji24]
View attachment 2260572
Katika vitu wenzetu Wanawake wako navyo makini ni hilo swala la kukimbilia bafuni ukitoka job, huwa wanahisi umetoka kuuza mechi huko 🤪Haya sasa. Wanaume mpo? Kibao kimegeuka....Sad [emoji24]
View attachment 2260572
@Kelsea baby mic uSiku hizi ni ngoma droo
Hapo ndipo alipoharibu.. kakosa hata mbinu baharia mzima?Baharia karudi kapitiliza kwenda bafuni moja kwa moja
Ngoma drooo, tuandae na mafyekeo kabisa yawe ndani. Ole wake arudi apitilize kuoga[emoji1787]Siku hizi ni ngoma droo
Mmmh hapo vyote hakuna Cha afadhali. Mfano kisu kimetua lakini hakijakuua, si wabaki kuteseka na maumivu pia?. Ila watu makatilii, mtoto wa mtu wamfanya hivyo kweli? [emoji1751]Ni afadhali hata kukitwa likisu la moyoni ukiwa umelala kuliko kumwagiwa maji au mafuta ya moto aisee.
Maisha ya hatihati!
Kwanza waanzaje kukaa tu bila kuoga?. Kuoga kwanza mengine yanafuatia[emoji13].Katika vitu wenzetu Wanawake wako navyo makini ni hilo swala la kukimbilia bafuni ukitoka job, huwa wanahisi umetoka kuuza mechi huko [emoji2957]
Kumbe mwenzao unataka kuoga ili kuondoa uchovu wa kazi [emoji87][emoji125][emoji125]