Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,790
Selfika

Hahaha hawa wanawake hawa
vibao vimegeuka tayari. Ama kweli jinsia zote siku hizi ni makatili.. Tukae Kwa password tuu.Baharia karudi kapitiliza kwenda bafuni moja kwa mojavibao vimegeuka tayari. Ama kweli jinsia zote siku hizi ni makatili.. Tukae Kwa password tuu.
Amina🙏🙏Mimi na akina nkamu wako wote tunakutakia uponaji wa haraka bro![]()
Siku hizi ni ngoma drooHahaha hawa wanawake hawa
Ahsante sana boss lady🙏🙏Get well soon our Mr Vocha! Buroo ya wanyaki!!
Ni afadhali hata kukitwa jisu la moyoni ukiwa umelala kuliko kumwagiwa maji au mafuta ya moto aisee.Wameanza kutuua tena![]()
Aisee...hii sasa hatari..
Katika vitu wenzetu Wanawake wako navyo makini ni hilo swala la kukimbilia bafuni ukitoka job, huwa wanahisi umetoka kuuza mechi huko 🤪
@Kelsea baby mic uSiku hizi ni ngoma droo
Hapo ndipo alipoharibu.. kakosa hata mbinu baharia mzima?Baharia karudi kapitiliza kwenda bafuni moja kwa moja
Ngoma drooo, tuandae na mafyekeo kabisa yawe ndani. Ole wake arudi apitilize kuogaSiku hizi ni ngoma droo

Mmmh hapo vyote hakuna Cha afadhali. Mfano kisu kimetua lakini hakijakuua, si wabaki kuteseka na maumivu pia?. Ila watu makatilii, mtoto wa mtu wamfanya hivyo kweli?Ni afadhali hata kukitwa likisu la moyoni ukiwa umelala kuliko kumwagiwa maji au mafuta ya moto aisee.
Maisha ya hatihati!

Kwanza waanzaje kukaa tu bila kuoga?. Kuoga kwanza mengine yanafuatiaKatika vitu wenzetu Wanawake wako navyo makini ni hilo swala la kukimbilia bafuni ukitoka job, huwa wanahisi umetoka kuuza mechi huko
Kumbe mwenzao unataka kuoga ili kuondoa uchovu wa kazi![]()
.