Mmh sasa mkianza mambo ya ooh sijui kama kuna mwanamke kadate wanaume zaidi ya watano kumi sijui kutunga ooh comments nzuri nzuri blah blah blah; what do we call that? Kwamba wao hawafai au hawana haki ya kuchangia na kudate kwao kunazuia nini wao kutoa maoni yao? Ndiyo maana hata Biblia imeandika "watoza ushuru na makahaba watawatangulia mbinguni". Kila mtu ana haki ya kuongea, regardless ya status yake; kwa sababu Kila mtu ana maisha yake anayoishi na experiences zake.
Una hoja yako, bring it on the table In a peaceful way, tutajadiliana kwa hoja. Maisha unayoona nadharia, mwingine kwake ni reality, ndiyo uhalisia wake wa sila siku; DIVERSITY. So utu uzima ni pamoja na kukubali kuvisikia hata usivyotaka kuvisikia. Tujadiliane kwa hoja kama watu wazima. Hakukuwa na mashindano so sitegemei kuwa na mshindi wa chochote.