Suka za mkono kukuza nywele zilizokatika.Tena bora umenikumusha shanga nataka kufumua hili wiving la kibibi sijui nisuke nywele gani Saint Anne cocastic mnisaidie nywele nzuri zitakazinipendeza Saivi nywele zangu zimekatika mbele balaa

Ilikaa km miezi miwili, sema nilikua nasafisha mda wote,Kweli kabisa
Ukichora kwa ngozi yale maua .. unapendeza
Tatoo hiyo ilikaa muda gani ?







Ushapata baby mpya wii?cocastic
Naenda location na nguo zangu hapa kwenye bag
Baby kashatuma hela ya photoshoot navyosubiri cm![]()
Hivi ulikuwa wapi weee? ShangaziiiiiAunt coca ndo umefuta
labda jamani hata ukubwani.. tena ukinikuta na hasira ndio kabisaa.. naweza nikala zangu nikaanza kula za alie karibu 😄😄Itakuwa ulikuwaga hushibi![]()
Hapana kwakweli siwezi kabisa!!Suka za mkono kukuza nywele zilizokatika.
Au na wewe huwezi kutoka na nywele za mkono madame?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mahaba yote ina na wivu ubaki njia kuuum. nisikuone na mtu 😄😄😄😄😁🏃🏃duh
🙏🙏
Mshono mtraamu, mama abiud,





Hapana kwakweli siwezi kabisa!!




labda jamani hata ukubwani.. tena ukinikuta na hasira ndio kabisaa.. naweza nikala zangu nikaanza kula za alie karibu![]()


piga menu ya kutosha usifanye diet kbisa utakula na za majiraniYaan mm sijui nipoje nikitoka ndo mnaselfikaHivi ulikuwa wapi weee? Shangaziiiii
Nimemrudia maana wasukuma siwaelewi kabisa😁😁
Nov??Yaan wee acha tyuuh, kwa mfano nikianza kufuga leo, ili nije kuwaringishia humu ni November au December.
Mama ananambiaga ungepewa kucha wee, tusingepumua mtaani,
Mungu akasema wee kucha nakunyima.
Ila nikiwa mvumilivu zinakua bombaaa, tatizo kusubiri aaaah.

Umerudi tena?Nimemrudia maana wasukuma siwaelewi kabisa![]()
