Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Binamu wanne inapanda nilete?Nachanganya inategemea na mood....
Binamu wanne inapanda nilete?Nachanganya inategemea na mood....
Uwe unazifuga shos zitakua tu mbona!Mie ndo nimenyimwa kucha mwenzenu, nataman sana kulipuka tatizo sijajaliwa, nilijaribu kipindi fulaan mmmh nkaona niache tyuuuh.
Kuna dada alipakaga hennah, bhana wee kucha zake ziliharibika kuchakaa kila akiosha hazing'ai, kila akiweka rangi zinabuma,Sahihi
Yeah za mjini huko kwa wajanja




sahivi kaacha, anajilaumu hataki hata kusikia kuhusu hennahMshauri akamuone DermatologistKuna dada alipakaga hennah, bhana wee kucha zake ziliharibika kuchakaa kila akiosha hazing'ai, kila akiweka rangi zinabuma,sahivi kaacha, anajilaumu hataki hata kusikia kuhusu hennah
Kucha had kukua ilichukua miezi km 5 hivi ndo kuonekana, akati wengine mwezi tyuuh wana shine,Uwe unazifuga shos zitakua tu mbona!
Hahahaaa... hapo kweli una kucha za kubip shos!Kucha had kukua ilichukua miezi km 5 hivi ndo kuonekana, akati wengine mwezi tyuuh wana shine,
Labda nianze upya tena.
Labda nimshauri hivyo.Mshauri akamuone Dermatologist
Niko hapa mkuu nitakusindikiza popote pale mie teinnnaaaa!!


!!
Swali...nawe unatumia wa shetani au sodaNiko hapa mkuu nitakusindikiza popote pale mie teinnnaaaa!!!!
Yaan wee acha tyuuh, kwa mfano nikianza kufuga leo, ili nije kuwaringishia humu ni November au December.Hahahaaa... hapo kweli una kucha za kubip!




Mungu akasema wee kucha nakunyima. 






kabisaaaa mie ni soda juice na na maji tu nalewaaa hatariiii!! Hivi vingine sio mteja kabisa mimi!Mie wa soda tu Ndugu yangu huko kwingine labda kama mnataka kunifundisha na shangazi StrawbellaSwali...nawe unatumia wa shetani au soda


!Inaharibu sana kucha ukipaka muda mrefuKuna dada alipakaga hennah, bhana wee kucha zake ziliharibika kuchakaa kila akiosha hazing'ai, kila akiweka rangi zinabuma,sahivi kaacha, anajilaumu hataki hata kusikia kuhusu hennah
Strawbella unaitwa huku na denti