Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,299
Binamu wanne inapanda nilete?Nachanganya inategemea na mood....
Binamu wanne inapanda nilete?Nachanganya inategemea na mood....
Binamu wanne inapanda nilete?
Uwe unazifuga shos zitakua tu mbona!Mie ndo nimenyimwa kucha mwenzenu, nataman sana kulipuka tatizo sijajaliwa, nilijaribu kipindi fulaan mmmh nkaona niache tyuuuh.
Kuna dada alipakaga hennah, bhana wee kucha zake ziliharibika kuchakaa kila akiosha hazing'ai, kila akiweka rangi zinabuma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi kaacha, anajilaumu hataki hata kusikia kuhusu hennahSahihi
Yeah za mjini huko kwa wajanja
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Asante shos!!
Mshauri akamuone DermatologistKuna dada alipakaga hennah, bhana wee kucha zake ziliharibika kuchakaa kila akiosha hazing'ai, kila akiweka rangi zinabuma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi kaacha, anajilaumu hataki hata kusikia kuhusu hennah
[emoji3531][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Kucha had kukua ilichukua miezi km 5 hivi ndo kuonekana, akati wengine mwezi tyuuh wana shine,Uwe unazifuga shos zitakua tu mbona!
Hahahaaa... hapo kweli una kucha za kubip shos!Kucha had kukua ilichukua miezi km 5 hivi ndo kuonekana, akati wengine mwezi tyuuh wana shine,
Labda nianze upya tena.
Labda nimshauri hivyo.Mshauri akamuone Dermatologist
Swali...nawe unatumia wa shetani au sodaNiko hapa mkuu nitakusindikiza popote pale mie teinnnaaaa!![emoji6][emoji6][emoji6]!!
Yaan wee acha tyuuh, kwa mfano nikianza kufuga leo, ili nije kuwaringishia humu ni November au December.Hahahaaa... hapo kweli una kucha za kubip!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa mie ni soda juice na na maji tu nalewaaa hatariiii!! Hivi vingine sio mteja kabisa mimi!
Mie wa soda tu Ndugu yangu huko kwingine labda kama mnataka kunifundisha na shangazi Strawbella[emoji12][emoji12][emoji6]!Swali...nawe unatumia wa shetani au soda
Inaharibu sana kucha ukipaka muda mrefuKuna dada alipakaga hennah, bhana wee kucha zake ziliharibika kuchakaa kila akiosha hazing'ai, kila akiweka rangi zinabuma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi kaacha, anajilaumu hataki hata kusikia kuhusu hennah
Strawbella unaitwa huku na dentiMie wa soda tu Ndugu yangu huko kwingine labda kama mnataka kunifundisha na shangazi Strawbella[emoji12][emoji12][emoji6]!
[emoji120][emoji120][emoji106] [emoji106]