Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimemrudia maana wasukuma siwaelewi kabisa[emoji16][emoji16]
Ina maana madogo akina Wige hawajachangamkia hili jimbo? Hii aibu sasa kwa Wasukuma hii wallahi [emoji85][emoji85][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
wasukuma_swaggz~p~BAoqpIpRcLk~1.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shimba umeanza vituko vyako hahahahH!!!
Habari za uzima!!
Poa Boss Lady. Mi niko poa kabisa. Mwalimu mwenzio hapa niko nasahihisha mamitihani na kusoma madissertation ya watu ili wafaulu wapate mashahada ya uzamivu huko!

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Wasukuma yaani aibu tupu safari hii. Jimbo limekuwa wazi karibia huu mwezi wa tatu sasa na wamepewa nafasi ya upendeleo sana. Sasa hata sijui wanakwama wapi yaani. Akina Wige waje wajitetee! [emoji51][emoji51][emoji51]

Nice to have you back!
 
Yaan wee acha tyuuh, nilikua najistukia sanaaa.
Nimeamini hata uwe mshenzi vipi, ila tattooo ni kikomo unadhararuliwa had unyayo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ah ndo tulivyo watanzania
Ukiiweka tu unalo
Wengine hawapendi kumuona mtu ametoboa matundu mengi sikioni wanamuangalia mara mbili
 
Back
Top Bottom