Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Ina maana madogo akina Wige hawajachangamkia hili jimbo? Hii aibu sasa kwa Wasukuma hii wallahiNimemrudia maana wasukuma siwaelewi kabisa![]()





Ina maana madogo akina Wige hawajachangamkia hili jimbo? Hii aibu sasa kwa Wasukuma hii wallahiNimemrudia maana wasukuma siwaelewi kabisa![]()





🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Shimba umeanza vituko vyako hahahahH!!!Ina maana madogo akina Wige hawajachangamkia hili jimbo? Hii aibu sasa kwa Wasukuma hii wallahi
View attachment 2259453
Ilikaa sana sio mbayaIlikaa km miezi miwili, sema nilikua nasafisha mda wote,
Nlikua najistukia yaan,![]()
Baadae ntakuwekea shangazi.Yaan mm sijui nipoje nikitoka ndo mnaselfika
Wizo ndiyo naingia hapa, please naomba urudie picha yangu jamani uwiiiiNimemrudia maana wasukuma siwaelewi kabisa![]()





yaan sijui nna tatzo lipi, kucha hazikui,Ina maana madogo akina Wige hawajachangamkia hili jimbo? Hii aibu sasa kwa Wasukuma hii wallahi
View attachment 2259453








Ha-haPoleeeeeeyaan sijui nna tatzo lipi, kucha hazikui,
Hamuwezi shindana na kina nshomile 😄😄😄Ina maana madogo akina Wige hawajachangamkia hili jimbo? Hii aibu sasa kwa Wasukuma hii wallahi
View attachment 2259453
Yaan wee acha tyuuh, nilikua najistukia sanaaa.Ilikaa sana sio mbaya
Sema watu wana perceive vibaya mtu mwenye tattoo .








Tenaaa wee ndo unaniumizaga, daah hongereni tyuuh.Poleeeeee
😁😁😁😁Hamuwezi shindana na kina nshomile 😄😄😄
Poa Boss Lady. Mi niko poa kabisa. Mwalimu mwenzio hapa niko nasahihisha mamitihani na kusoma madissertation ya watu ili wafaulu wapate mashahada ya uzamivu huko!Shimba umeanza vituko vyako hahahahH!!!
Habari za uzima!!


Wasukuma yaani aibu tupu safari hii. Jimbo limekuwa wazi karibia huu mwezi wa tatu sasa na wamepewa nafasi ya upendeleo sana. Sasa hata sijui wanakwama wapi yaani. Akina Wige waje wajitetee! 


Na ulivyo msumbufu, bora ulivyovikosa tu😂😂😂😂Tenaaa wee ndo unaniumizaga, daah hongereni tyuuh.
Iiweeeeeeehh!🤣🤣🤣🤭!!Hamuwezi shindana na kina nshomile 😄😄😄
wenye wivu wajirushe mbinguni kwa Yesu eeh 😄😄😄😄😄😁😁😁😁
Hilo linaeleweka mbona?Hamuwezi shindana na kina nshomile![]()


Ah ndo tulivyo watanzaniaYaan wee acha tyuuh, nilikua najistukia sanaaa.
Nimeamini hata uwe mshenzi vipi, ila tattooo ni kikomo unadhararuliwa had unyayo.![]()