Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

usijaribu bhana khaaah. Unataka uwe km mama Makinda, lol

Hahahaha kuna tufupi bhana
Mbona yebo twasuka hadi leo

Msuko wa wazee ni huu majongoo
download (3).jpg
 
Taarifa za kwenye picha hazitoshi kumjua mtu. Ni baadhi ya taarifa za awali zinazoweza wasaidia pa kuanzia, kwa mfano kujua location, model ya camera, mda picha iliyochukuliwa.. zitawasaidia mahala pa kuanzia.. ila sio kwamba watajua ni nani. Ukiwa na hizo taarifa mfano location, model ya camera utajua aina ya simu, time.. kwa wenzetu ulaya maeneo mengi yana CCTV wanaweza pitia pitia humo kupata point point ... sema nipo maji ningeendelea kuandika

Mjep cocastic Christine1
Ndio maana nikataja neno "risk" mkuu. Uko sahihi.
 
Back
Top Bottom