Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Og ni zipi sasa?
Bongo hapa shida tu
Ya bei kidogo nahisi ndo nzuri tofauti na hiyo ya buku jero .

Nilipaka continuous hiyo ya 1500 baada ya muda kucha inaharibika fulani hivi....Hata hivyo inategemea na salooni unayoenda kupaka hiyo henna , sio hizi za uchochoroni

Au unaweza kwenda hawa henna artist kabisa kwa huduma nzuri zaidi

Ngoja wataalamu waje kutupa info zaidi
 
Bongo hapa shida tu
Ya bei kidogo nahisi ndo nzuri tofauti na hiyo ya buku jero .

Nilipaka continuous hiyo ya 1500 baada ya muda kucha inaharibika fulani hivi....Hata hivyo inategemea na salooni unayoenda kupaka hiyo henna , sio hizi za uchochoroni

Au unaweza kwenda hawa henna artist kabisa kwa huduma nzuri zaidi

Ngoja wataalamu waje kutupa info zaidi

Oohh sawa
 
Bongo hapa shida tu
Ya bei kidogo nahisi ndo nzuri tofauti na hiyo ya buku jero .

Nilipaka continuous hiyo ya 1500 baada ya muda kucha inaharibika fulani hivi....Hata hivyo inategemea na salooni unayoenda kupaka hiyo henna , sio hizi za uchochoroni

Au unaweza kwenda hawa henna artist kabisa kwa huduma nzuri zaidi

Ngoja wataalamu waje kutupa info zaidi
Unaenda zile saloon kubwa, pale ndo uhakika, wa bara baran ni miyeyusho tyuuh.
 
Back
Top Bottom